Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Mgombea wa ubunge kwa tikiti ya CCM, Yusuph Nasir Abdallah (kushoto) akiwa na mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga Mussa Shermkweli wakati wa kampani hivi karibuni jimbo la Korogwe.
Yusuph ambaye pia anafahamika kama "Obama wa Korogwe" alimbwaga chini mwalimu wake wa zamani na naibu waziri wa habari,michezo na utamaduni Mh. Joel Bendera...
Staili hii ya upande mmoja wa kanga begani imekaaje maana huwa namuona festi ladi akitoka hivyo pia?