Hawa wafuasi wa Obama ni kama wale wanaoipigia kura CCM kule vijijini. Yaani wapo wapo tuu hawajui kinachoendelea.
Sijaiangalia hiyo video but comment yako inamaanisha akina Oprah Winfrey, Jayz & Beyonce na wengineo kama hao? Sijakusoma vizuri hapo.
Hawa wafuasi wa Obama ni kama wale wanaoipigia kura CCM kule vijijini. Yaani wapo wapo tuu hawajui kinachoendelea.
Hmm...I always take these kind of 'man on the street' interviews with a grain of salt.
And to be fair, you can find a whole bunch of ignoramuses on both sides of the political spectrum and compile soundbites and make it look as if one side is fraught with them.
Hawa wafuasi wa Obama ni kama wale wanaoipigia kura CCM kule vijijini. Yaani wapo wapo tuu hawajui kinachoendelea.
Ridiculous kabisa. Yaani kufikia conclusion kwa kutegemea maneno ya hao handpicked few, ni kushindwa kuwa objective. Tanzania hii pia tuna watu ambao hawaipendi ccm lakini hawajui kwanini. Pia wapo wanaoipenda cdm na hawajui kwanini. Tusiwe kama bendera fuata upepo. Tuwe objective na critical