Hey Sha Kingu...hujaelewa usidandie. Jamaaa ni mkristo.
Tujadili.
Laiti mngejua imani ya huyu jamaa, lakini kamwe si moja kati ya hizo mbili:laugh:!!!Shakitundu kwanini tujadili dini ya mtu itakusaidia nini kujua dini ya Obama?
Oβama ni muslim, wajihi wake tu unamtambulisha.
Luza
Yaaack
Nilidhani mu ma great thinker, kumbe ni sinker. Get your knowledge right sio kukurupuka.