Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
The message speaks volumes. Romney is done. He should kiss presidency.
While I like Obama, I abhore his stand on abortion and same sex "marriage". On that alone, he might lose the election. And I am not sure how I would feel about that.
While I like Obama, I abhore his stand on abortion and same sex "marriage". On that alone, he might lose the election. And I am not sure how I would feel about that.
Not so simple! Obama is still swimming in a bowl of hot soup; last minute decisions are likely to surprise Obama! Sometimes by unbelievable margins of between 100 to 200 votes only out of seven or more millions votes. You must learn to stay focused towards realities.The message speaks volumes. Romney is done. He should kiss presidency.
Mwalimu Moshi, mimi ninakuelewa sana unavyosema kwani kila jumapili sisi askofu wetu hutuma ujumbe kwenye makanisa yote ya jimbo lake kuhusu message hizo. Nilichukua muda mrefu sana kuchambua siasa za marekani na imani yangu ya dini nikaangalia mambo mawili yafuatayo:
(a) Marekani ina dini nyingi zote zikiwa na imani tofauti, kwa mfano dini ya Romney inamruhusu kuoa wanawake wengi tu, wakati dini yangu inafundisha kuwa ndoa ni ya mke mmoja na mme mmoja. Waislamu waliopewa ukimbizi kutoka Somalia na kuja na familia zao, wengi wao walikuwa na wake zaidi ya mmoja kwa sababu dini yao inawaruhusu, lakini sheria ya marekani inazuia ndoa za zaidi ya mtu mmoja.
(b)Dini yangu inanifundisha kuwa alichounganisha Mungu, binadamu hawezi kutenganisha, lakini sheria ya marekani inaruhusu ndoa kuvunjika wakati wowote, na kuna dini nyingi sana zinazoruhusu wanandoa kutarikiana.
Kutokana na hayo ndipo nikakubaliana na Obama kuwa kila mtu na imani yake, serikali haiwezi kumlazimisha mtu namna ya kutumia mwili wake mradi asifanye hadharani mambo ambayo jamii haikubalinai nayo. Kwa hiyo kuoana wanaume wawili wakaishi pamoja siyo kosa, ila labda nigependa kuona serikali inakemea wanaume wawili kupena mabusu ya kimapenzi hadharani, au kuzuia watu wote wasifanye hivyo kama ambavyo kweny tulikuwa kutenganisha mambo ya chumbani na mambo ya hadharani.
Kuhusu abortion, ninajua inaumiza watu wengi wa dini mbalimbali lakini kwa vile nchi hii intaka kila mtu abebe mzigo wake, inakuwa ni makosa kumzuia mwanamke kutoa mimba ambayo kapata bila kutegemea na wala hana uwezo wa kuilea mimba ile na kumltea mtoto atakeyzaliwa. Kuna contradiction kubwa sana marekani ambapo wanaojidai kuwa watu wa dini wa kuzuia utoaji wa mimba ndio hao hao pia hawataki kuona serikali inawasidia watu wasiokuwa na uwezo!
That is the way you see things though we can't all share same way of conceiving things. It is upon Americans to decide although chances are that the chance for Romney to clinch presidency is slim.
What saddens me the most is when Obama took Office he actually had high hopes and dreams for America. He had no idea that winning the presidential race was only half the battle.
Once elected, Congressional Republicans deliberately sabotaged his every move. Most of the bills that Obama proposed were rejected by Congress unanimously...Senate GOP leader Mitch McConnell even boasted that the Senate's "single, most important goal was to make President Obama a one-term president." I am saddened that Congress was so fixated on blocking Obama, that they compromised the U.S. Constitution that they are supposedly founded upon. Not to mention, tax dollars, time and effort and their own morals and beliefs...
Obama did not have a clean and equal slate right from the start. Yet..still with extreme opposition in Congress, he managed to stimulate the economy.
I wonder what great heights could we as Americans have soared if Congress had of supported the president rather than waste unknown amounts of energy opposing him...GOP strategy: Block Obama, then blame him...
Unfortunately, Obama has not reminded Americans that they would have been in a different place if Congress had not deliberately blocked his initiatives. Most importantly he would have used that fact as a case for his reelection to break the would be precedence for the congress blocking the new president's initiatives to make him/her loose re-election.What saddens me the most is when Obama took Office he actually had high hopes and dreams for America. He had no idea that winning the presidential race was only half the battle.
Once elected, Congressional Republicans deliberately sabotaged his every move. Most of the bills that Obama proposed were rejected by Congress unanimously...Senate GOP leader Mitch McConnell even boasted that the Senate's "single, most important goal was to make President Obama a one-term president." I am saddened that Congress was so fixated on blocking Obama, that they compromised the U.S. Constitution that they are supposedly founded upon. Not to mention, tax dollars, time and effort and their own morals and beliefs...
Obama did not have a clean and equal slate right from the start. Yet..still with extreme opposition in Congress, he managed to stimulate the economy.
I wonder what great heights could we as Americans have soared if Congress had of supported the president rather than waste unknown amounts of energy opposing him...GOP strategy: Block Obama, then blame him...
na kuna african americans who are voting for romney hapo yaani ndio hua sielewi mentality zao kabisa
Mkuu Kichuguu! Naona nimwige Mzee ES (where is he?) niseme "heshima mbele mkuu!"Mwalimu Moshi, mimi ninakuelewa sana unavyosema kwani kila jumapili sisi askofu wetu hutuma ujumbe kwenye makanisa yote ya jimbo lake kuhusu message hizo. Nilichukua muda mrefu sana kuchambua siasa za marekani na imani yangu ya dini nikaangalia mambo mawili yafuatayo:
(a) Marekani ina dini nyingi zote zikiwa na imani tofauti, kwa mfano dini ya Romney inamruhusu kuoa wanawake wengi tu, wakati dini yangu inafundisha kuwa ndoa ni ya mke mmoja na mme mmoja. Waislamu waliopewa ukimbizi kutoka Somalia na kuja na familia zao, wengi wao walikuwa na wake zaidi ya mmoja kwa sababu dini yao inawaruhusu, lakini sheria ya marekani inazuia ndoa za zaidi ya mtu mmoja.
(b)Dini yangu inanifundisha kuwa alichounganisha Mungu, binadamu hawezi kutenganisha, lakini sheria ya marekani inaruhusu ndoa kuvunjika wakati wowote, na kuna dini nyingi sana zinazoruhusu wanandoa kutarikiana.
Kutokana na hayo ndipo nikakubaliana na Obama kuwa kila mtu na imani yake, serikali haiwezi kumlazimisha mtu namna ya kutumia mwili wake mradi asifanye hadharani mambo ambayo jamii haikubalinai nayo. Kwa hiyo kuoana wanaume wawili wakaishi pamoja siyo kosa, ila labda nigependa kuona serikali inakemea wanaume wawili kupena mabusu ya kimapenzi hadharani, au kuzuia watu wote wasifanye hivyo kama ambavyo kweny tulikuwa kutenganisha mambo ya chumbani na mambo ya hadharani.
Kuhusu abortion, ninajua inaumiza watu wengi wa dini mbalimbali lakini kwa vile nchi hii intaka kila mtu abebe mzigo wake, inakuwa ni makosa kumzuia mwanamke kutoa mimba ambayo kapata bila kutegemea na wala hana uwezo wa kuilea mimba ile na kumltea mtoto atakeyzaliwa. Kuna contradiction kubwa sana marekani ambapo wanaojidai kuwa watu wa dini wa kuzuia utoaji wa mimba ndio hao hao pia hawataki kuona serikali inawasidia watu wasiokuwa na uwezo!
Obama pamoja na kwamba yeye mwenyewe hakubaliani na hili la abortion and same sex marriages hawezi kwenda kinyume cha policy ya chama kilichomsimamisha kupeperusha bendera ya Democratic katika kinyang'anyoro cha Urais. Vivyo hivyo mpinzani wake lazima atetea policy ya matajiri wa chama chake.
Wonderfulf
Wengi huwa tunaelekea kumwandama mgombea kuhusu mambo haya bila kuangalia policy ya chama kinachomsimamisha. Ukiamua kuwa mgombea wa Chadema lazima ukubaliane na people's power la sivyo si uwanja wako rudi CCM. Hali kadhalika kama unapeperusha bendera ya jembe na nyundo uwe tayari kutetea kubomoa uchumi wa nchi kwa kutumia zana hizo kwani ukijenga utetezi wa mali ya umma kulindwa utakuwa upande wa Chadema.
Obama alishatamka wazi kwamba binafsi hakubaliani na hayo ila analazimika kutetea matakwa ya chama chake kilichompa nafasi ya kuongoza nchi.