Obama na Wazungu waanza Propaganda za Ushoga TZ yetu!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,782
Wazungu wameanza uongo na usanii wao wanasema kwamba 23% ya Wanaume walioambukizwa Virusi vya UKIMWI ni mashoga, yaani wamepata virusi hivyo kwa kuingiliana kimaumbile na Wanaume wenzao na wamepinga vikali katazo la Serikali yetu chini ya Wizara ya Afya ya Waziri Umi Mwalimu kuzuia uagizwaji wa mafuta ya kulainisha uume ili uweze kuingia kwa uraisi kwenye mkundu wa Mwanaume!

Serikali kuweni macho na misaada mnayochukuwa hasa kuweni makini sana na ziara za Wafalme na watoto wa wafalme wa Ulaya, Obama is devil na yuko nyuma huu mpango, hakuna Kiongozi wa Kizungu aliyeidhuru na anayeendela kuidhuru Afrika kama Obama, kwanza alimuua Gadafi hakuna Raisi wa USA aliyewahi kuassasinate sitting African President mpaka Obama alivyoingia sasa Obama anasukuma tuukubali Ushoga!
 
Kwel wazungu wanatufanya sisi wajinga yaan wao piga ua wanataka tukubali kama wao , sio poa kabisa. Nashukur katiba yangu na sheria za nchi yangu haziruhusu huo ushetani na mpaka kwenye sheria ya makosa ya kujamiiana ushoga ni marufuku...
Yan hawa watu weupe wana kila lazima kuona vijana wetu wakipumuliwa...
 
Wazungu wameanza uongo na usanii wao wanasema kwamba 23% ya Wanaume walioambukizwa Virusi vya UKIMWI ni mashoga, yaani wamepata virusi hivyo kwa kuingiliana kimaumbile na Wanaume wenzao na wamepinga vikali katazo la Serikali yetu chini ya Wizara ya Afya ya Waziri Umi Mwalimu kuzuia uagizwaji wa mafuta ya kulainisha uume ili uweze kuingia kwa uraisi kwenye mkundu wa Mwanaume!

Serikali kuweni macho na misaada mnayochukuwa hasa kuweni makini sana na ziara za Wafalme na watoto wa wafalme wa Ulaya, Obama is devil na yuko nyuma huu mpango, hakuna Kiongozi wa Kizungu aliyeidhuru na anayeendela kuidhuru Afrika kama Obama, kwanza alimuua Gadafi hakuna Raisi wa USA aliyewahi kuassasinate sitting African President mpaka Obama alivyoingia sasa Obama anasukuma tuukubali Ushoga!

nw_052112_domcvr.jpg
Hoja zingine ni za kipuuzi sana! Hivi unadhani kuzuia mafuta ndiko kutamaliza tatizo la ushoga? Ushoga ni tatizo zito ambalo linamalizwa kwa neema ya Mungu tu; sio kwa kuzuia mafuta wala matamko ya Makonda. Ni bora kuruhusu mafuta angalau yawasaidie waliopagawa na pepo la ushoga kabla hawajakutana na neema ya Mungu. Ukizuia mafuta ni sawa tu na kuzuia kondomu! Mbona wazinzi mmeruhusu watumie kondomu na mnawasambazie? Nani kakwambia uzinzi una nafuu kuliko ushoga?
 
Hoja zingine ni za kipuuzi sana! Hivi unadhani kuzuia mafuta ndiko kutamaliza tatizo la ushoga? Ushoga ni tatizo zito ambalo linamalizwa kwa neema ya Mungu tu; sio kwa kuzuia mafuta wala matamko ya Makonda. Ni bora kuruhusu mafuta angalau yawasaidie waliopagawa na pepo la ushoga kabla hawajakutana na neema ya Mungu. Ukizuia mafuta ni sawa tu na kuzuia kondomu! Mbona wazinzi mmeruhusu watumie kondomu na mnawasambazie? Nani kakwambia uzinzi una nafuu kuliko ushoga?


Ukiyataka kuyatumia unaweza kwenda Kenya ukanunua na ukaja kutumia kimya kimya lkn sisi TZ yetu madukani ni marufuku!
 
Tunafungwa ktk maadili ya jamii zetu au dini.As Africans we dont accept hizo mambo but also religions kubwa ambazo ni Muslim na christian ziko against hizo life style.If at all it is your way of life you may go and live there wana practice hizo tabia
 
Mtafute mtu yeyote serikalini au hata JPM mwenyewe umuulize akutajie vipaumbele 50 vya nchi ili ipige hatua na hutamsikia yeyote akikutajia "Mapambano dhidi ya ushoga."
Hii ina maana ni muhimu mleta mada ukafahamu mambo ya msingi ya kujadili na vipaumbele vya taifa.
 
Hili la ushoga ukiwa nchi tegemezi kama TZ huwezi shinda hata ufanyaje zaidi kupunguza kasi tu mana unakuta viongozi wenyewe ambao inabidi wakemee tabia hizi ni washiriki wazuri (hufanya na kufanywa)
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom