Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,782
Wazungu wameanza uongo na usanii wao wanasema kwamba 23% ya Wanaume walioambukizwa Virusi vya UKIMWI ni mashoga, yaani wamepata virusi hivyo kwa kuingiliana kimaumbile na Wanaume wenzao na wamepinga vikali katazo la Serikali yetu chini ya Wizara ya Afya ya Waziri Umi Mwalimu kuzuia uagizwaji wa mafuta ya kulainisha uume ili uweze kuingia kwa uraisi kwenye mkundu wa Mwanaume!
Serikali kuweni macho na misaada mnayochukuwa hasa kuweni makini sana na ziara za Wafalme na watoto wa wafalme wa Ulaya, Obama is devil na yuko nyuma huu mpango, hakuna Kiongozi wa Kizungu aliyeidhuru na anayeendela kuidhuru Afrika kama Obama, kwanza alimuua Gadafi hakuna Raisi wa USA aliyewahi kuassasinate sitting African President mpaka Obama alivyoingia sasa Obama anasukuma tuukubali Ushoga!
Serikali kuweni macho na misaada mnayochukuwa hasa kuweni makini sana na ziara za Wafalme na watoto wa wafalme wa Ulaya, Obama is devil na yuko nyuma huu mpango, hakuna Kiongozi wa Kizungu aliyeidhuru na anayeendela kuidhuru Afrika kama Obama, kwanza alimuua Gadafi hakuna Raisi wa USA aliyewahi kuassasinate sitting African President mpaka Obama alivyoingia sasa Obama anasukuma tuukubali Ushoga!