Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

Obama in Africa: I'm Proud To Be First Kenyan-American President


by Chris Jansing


NAIROBI, Kenya - President Barack Obama spoke proudly of his Kenyan heritage before a raucous and affectionate crowd in Nairobi on Sunday.

"I am proud to be the first American president to come to Kenya, and of course I'm the first Kenyan-American to be president of the United States," he told the packed sports hall in Nairobi, to the loud cheers of over 4,500 people in the audience. It was the time he referred to himself as such.

The president recalled his first trip to Africa, at the age of 27, when he arrived at the airport and tried to find his luggage. He said, a woman who saw his name asked if Obama was related to his father, whom she had known.

"That was the first time my name meant something and that it was recognized," the president said. He went on to meet "brothers, aunts and uncles ... saw the graves of my grandfather and father."

Obama's father is buried in western Kenya.

But the personal quickly gave way to the practical and political, with Obama pledging to stand by Kenya as it battles terrorism and calling on all Kenyans to stamp out corruption.

"Every shilling that's a bribe could be put in the pockets of someone doing an honest day's work," he said.

Related: Obama Takes Jab at Birther Movement on Kenya Trip

He also mentioned the importance of educating women and recognizing their place in society.

"Treating women as second class citizens is a bad tradition - it's holding you back," he said. "Imagine if you have a team and you don't let half of the team play - that's stupid."

Obama in Africa: I'm Proud To Be First Kenyan-American President - NBC News
 
11709769_1109517839076768_3329252157592328192_n.jpg



11760154_1109517875743431_4295139150503183989_n.jpg
William Samoae Rutto alikuwa kama mkimbizi nchi kwake. Sina hakika kama aionana na Obama
 
Rais wa dunia anahutubia muda si mrefu from Kasarani Stadium. Nimeamini no matter what nyumbani ni nyumbani, sijawahi kuona any US President akifanya mkutano kwenye uwanja sehemu yoyote nje ya Marekani.

Kenyan artistes Eric Wainaina, Suzanna Owiyo entertain delegates at Kasarani stadium

=Opposition leaders Raila Odinga, Kalonzo Musyoka, Moses Wetangula, Martha Karua wamehudhulia pia katika uwanja wa Kasarani

CK05n6-WIAArFpK.jpg

Packed stadium as Kenyan students await President Obama's speech

=Auma Obama introducing POTUS to audience at Kasarani Indoor Stadium

=Auma: He is not just our #familia, he gets us.

CK1C6YgVEAAI_Oo.png

=It is great to be back in Kenya.

=Obama: I love you back, I do!

=Obama:Auma alinipokea kwa gari nzee sana aina ya Volkswagen Beetle.Liliharibika mara kadhaa katika safari ya Kogello

=Obama: The first time I came to Kenya, things were a little different. The airport had lost my bag. That doesn't happen on AF1

=Obama: I slept on a cot in her apartment. We were drinking tea and eating ugali...wasn't a lot of luxury

=Obama: There was something more important than luxury - and that was a sense of being recognised...being seen..

=Obama: I was unfamiliar with my father and his birthplace...rather disconnected from half of my heritage.

CKXQRIMUAAEzCqk.jpg

=I am the first Kenyan American to be the President of the United States

=My grandather was a cook for the British. I found a passbook he had to carry as a servant.

=My father came of age as Kenyans were pursuing Independence.

=We know our history so that we can learn from it. We study the past so it can guide us for the future.

=Like any Country, Kenya is far from perfect. But it has come so far.

=New investments are making Kenya a new global hub for trade

=Mpesa is changing the way people use money.

=Maybe the FirstLadyKenya will win a marathon soon, I told @UKenyatta to start running with his wife ~

=Kenya is one Country in this place that clearly observes Freedom of the Press.

=A girl in Rift Valley is far less likely to attend secondary sch. than a girl in Nairobi. Thats a gap that needs to be closed

=In the US we struggle to improve, we are self critical. Whats true for America is true for Kenya.

=Obama:Miaka 30 iliyopita nilipoteza mzigo wangu katika uwanja wa ndege hilo haliwezifanyika katika Airforce one

=Obama:Tukiwa Marekani,tunawaona wakenya wakishinda kila mbio za Marathon. Najivunia

=Obama: Siasa za kikabila zinatishia umoja na uwiano wa watu wa taifa hili la Kenya

=Obama: Mstakabali wa baadaye na ufanisi wa Afrika unawategemea Waafrika wenyewe, sio misaada kutoka kwa wageni

=Obama: Ufisadi hauko Kenya pekee, mataifa mengi yanatatizika sana na ufisadi miongoni mwa maafisa umma Hata Marekani

=Democracy begins with a elections, but does not end with elections.

=Corruption is not unique to Kenya. There is no country that is completely free of Corruption

=Ordinary people have to stand up and say enough is enough.#Corruption

=We are investing in young people of Kenya and young people of this continent. #YoungLeadersInitiative

=Obama: Hapa nchini Kenyani ni wakati serikali sasa ianze kuweka mikakati ya kuangamiza ufisadi,sio tu kubadilisha sheria,La!.

=Obama :Viongozi wanaopatikana na hatia ya kushiriki ufisadi sharti washtakiwe.
Mkenya wa kawaida anataka kuwaona wakiwa mahakamani

=Obama: Marekani inataka Kenya iliyoendelea.Ni kwa sababu hiyo Marekani inawekeza katika maisha ya baadaye ya vijana.

=Obama:Tamaduni zinazodunisha wanawake na kuwadhulumu hazina mahali katika maisha ya leo

=Obama: Ufisadi hauko Kenya pekee, mataifa mengi yanatatizika sana na ufisadi miongoni mwa maafisa umma, Hata Marekani

=Obama: Bila ya kuwaelimisha mtoto wa kike jamii haiwezi kukamilika

=Obama: Treating women and girls as second class citizens is a bad tradition. It holds you back!

=Obama: Kenya will not success if it treats women and girls as second class citizens.

=Obama: The US and Kenya both have Muslim minorities, but those minorities make enormous contributions.

=Obama: I'm here to tell you United States will be a partner every step of the way Good bless you. Asante sana


Kweli ni nyumbani tu hata kukiwa porini Hatimae Obama amekubali yeye ni muafrica kutoka East Africa. Kenya
 
Kweli ni nyumbani tu hata kama ni porini
Hatimae Obama amethibitisha. Kuwa yeye ni Muafrika kutoka Kenya East Africa
 
Kweli ni nyumbani tu hata kama ni porini
Hatimae Obama amethibitisha. Kuwa yeye ni Muafrika kutoka Kenya East Africa

Umeona ee, kuna maneno aliyatamka ambayo yangemkosesha kura Marekani. Kwamba yeye ni "Kenyan America"....hehehe!!! Kuna jamaa walikua wanajiita "the birthers", walijaribu kila mbinu kumharibia kipindi cha kampeni kwa kumhusisha na Kenya. Lakini sasa keshafanya yake, amemaliza kipindi chake cha pili cha urais, na ameshusha mabilioni ya hela Kenya, sasa hata wamsakame, wamtusi....hamna nini wala nini tena....
 
Ama kwa hakika hotuba ya Obama ilijaa Ukweli,Uwazi,Ushauri na yenye lengo la kutupa mwanga sisi kama wa-Afrika.Ilisheheni kila suala linazozikumba nchi zetu zinazoendelea.

Shime viongozi wetu,sisemi tu wa ngazi za juu,HAPANA,sasa ni wakati wa kila aliyepewa mamlaka na wananchi kuwajibika ipasavyo kulingana na nafasi yake ya uongozi.

Ni matumaini yangu juwa INAWEZEKANA.

Hatuna budi kuweka Siasa pembeni katika Ufanyaji Maamuzi na katika Utendaji na Uongozi Mzima wa Nchi zetu.

Natamani Tanzania ingekuwa inaongozwa na Obama nijioonee na mimi jinsi MABADILIKO MAKUBWA ambavyo yangefurika.

Suala na tatizo kubwa la Tanzania ni uongozi mbovu usiojali na kufuata Misingi ya utawala bora.

Adui wa nne(4) anaye inyemelea nchi yetu ni "Siasa" katika kila Maamuzi hadi yale yenye maslahi juu ya Mustakabali na Hatma ya Taifa letu.

Kwa zaidi ya Miaka 50 tokea uhuru binafsi na kwa maoni yangu hatukupaswa tuwe na wingi wa ukosefu wa Ajira,Matatizo ya Maji sio tu 'Maji' bali 'Maji Safi na Salama',Kiwango kikubwa cha Maskini hasa wale wa chini ya Nusu dollar sio tena Dollar Moja,Mdororo wa kiuchumi,Ukuaji mdogo na usioridhisha wa pato la Taifa,Mfumoko usioeleweka wa bei za mazao na bidhaa masokoni,na mengineyo chungu nzima.

Hayo ni matatizo tuliyopaswa kuwa tumeyapunguza mpaka kima cha chini kabisa kama sio kuyamaliza ndani ya Miaka zaidi ya miongo mitano tokea tuwe huru kupanga sera thabiti zetu wenyewe pasipo mkoloni kutuingilia.

Matatizo tuliyonayo hatustahili kuwa nayo kwa ulingano rahisi wa "MATATIZO vs RASILIMALI"


MWISHO:
Shime viongozi wetu kuanzia Rais mpaka Balozi wa nyumba kumi tujitahidi kuhakikisha kuwa nchi yetu inaondokana na Matatizo haya.

Binafsi inaniuma sana.

Waheshimiwa walalahoi wenzangu,NAOMBA KUTOA HOJA.

Dekka,Samwel P,
Chuo Kikuu cha Dodoma,
Dodoma,
Tanzania.
 
Ama kwa hakika hotuba ya Obama ilijaa Ukweli,Uwazi,Ushauri na yenye lengo la kutupa mwanga sisi kama wa-Afrika.Ilisheheni kila suala linazozikumba nchi zetu zinazoendelea.

Shime viongozi wetu,sisemi tu wa ngazi za juu,HAPANA,sasa ni wakati wa kila aliyepewa mamlaka na wananchi kuwajibika ipasavyo kulingana na nafasi yake ya uongozi.

Ni matumaini yangu juwa INAWEZEKANA.

Hatuna budi kuweka Siasa pembeni katika Ufanyaji Maamuzi na katika Utendaji na Uongozi Mzima wa Nchi zetu.

Natamani Tanzania ingekuwa inaongozwa na Obama nijioonee na mimi jinsi MABADILIKO MAKUBWA ambavyo yangefurika.

Suala na tatizo kubwa la Tanzania ni uongozi mbovu usiojali na kufuata Misingi ya utawala bora.

Adui wa nne(4) anaye inyemelea nchi yetu ni "Siasa" katika kila Maamuzi hadi yale yenye maslahi juu ya Mustakabali na Hatma ya Taifa letu.

Kwa zaidi ya Miaka 50 tokea uhuru binafsi na kwa maoni yangu hatukupaswa tuwe na wingi wa ukosefu wa Ajira,Matatizo ya Maji sio tu 'Maji' bali 'Maji Safi na Salama',Kiwango kikubwa cha Maskini hasa wale wa chini ya Nusu dollar sio tena Dollar Moja,Mdororo wa kiuchumi,Ukuaji mdogo na usioridhisha wa pato la Taifa,Mfumoko usioeleweka wa bei za mazao na bidhaa masokoni,na mengineyo chungu nzima.

Hayo ni matatizo tuliyopaswa kuwa tumeyapunguza mpaka kima cha chini kabisa kama sio kuyamaliza ndani ya Miaka zaidi ya miongo mitano tokea tuwe huru kupanga sera thabiti zetu wenyewe pasipo mkoloni kutuingilia.

Matatizo tuliyonayo hatustahili kuwa nayo kwa ulingano rahisi wa "MATATIZO vs RASILIMALI"


MWISHO:
Shime viongozi wetu kuanzia Rais mpaka Balozi wa nyumba kumi tujitahidi kuhakikisha kuwa nchi yetu inaondokana na Matatizo haya.

Binafsi inaniuma sana.

Waheshimiwa walalahoi wenzangu,NAOMBA KUTOA HOJA.

Dekka,Samwel P,
Chuo Kikuu cha Dodoma,
Dodoma,
Tanzania.
 
Mkuu mabadiliko yanaanzia kwako
Je umejiandikisha kupiga kura?
Wahimize wenzako tuchague viongozi walio bora kenya wameweza kwanini sisi tushidwe?
 
11792083_10153649721069238_3831193064383152977_o.jpg


President Barack Obama delivers remarks at the Safaricom Indoor Arena in Nairobi, Kenya, July 26, 2015. (Official White House Photo by Pete Souza)
 
Back
Top Bottom