mwalimu Jr.
Member
- Aug 20, 2008
- 51
- 4
KWA mujiibu wa habari nilizozisikia hivi karibuni ni kuwa viongozi wa kijeshi wa Marekani wamesema tayari wameruhusiwa kutumia ndege zao za kijeshi ili kuihuisha serikali iliyopandikizwa huko Somalia huku ikijifiia yenyewe maana haina mizizi kabisa nchini humo.
Kwa Afrika hili litakuwa kosa la kwanza la Obama barani kwetu. Ni vyema AU ikatae katakata na isiyumbishwe na nchi za Kiafrika zenye njaa ya fedha za Marekani kama vile Uganda, Kenya, Burundi, Djibouti ambazo baada ya kuwaibia na kumaliza fedha za wananchi wao na sasa zimeishiwa ziko tayari kulamaba kinyesi chini ya buti za Obama na watu wake ili zipate fedha za kuendelea kutanua.
Vita Somalia vinavyofanywa na watu wa Magharibi penda tusipende ni chuki dhidi ya Uislamu na El-shababu na haina malengo kabisa ya kuleta amani ya kudumu na kuiepusha Afrika na madahra ya uingiliwaji na nchi kama Marekani kama ilivyotokea huko Vietnam, Marekani ya kusini na Marekani ya kati.
Ikiwa Marekani inatutakia amani kweli basi izipe nchi kama Tanzania, Msumbiji, Sudani, Malagasy na Kenya meli ndogo za kivita ziwe zetu ili kwanza tuanze kumaliza tatizo la utekaji meli za kibiashara nyara.
Kuanza kugeuza sehemu hii ya Afrika kuwa uwanja wa kurushia mabomu kutachangia sana kuharibu hali ya hewa pande hii ambayo kwa hivi sasa tayari imeshaanza kuzua mtafaruku.
Je, kazi ya kurusha mabomu huko Iraq na Afghanistan imekwisha ? AFRIKA TUNASEMA NOOOO, BALOZI WA MAREKANI TANZANIA NOOOO MABOMU RASI YA GUADAFUI NA AFRIKA MASHARIKI!!!!!!
Kwa Afrika hili litakuwa kosa la kwanza la Obama barani kwetu. Ni vyema AU ikatae katakata na isiyumbishwe na nchi za Kiafrika zenye njaa ya fedha za Marekani kama vile Uganda, Kenya, Burundi, Djibouti ambazo baada ya kuwaibia na kumaliza fedha za wananchi wao na sasa zimeishiwa ziko tayari kulamaba kinyesi chini ya buti za Obama na watu wake ili zipate fedha za kuendelea kutanua.
Vita Somalia vinavyofanywa na watu wa Magharibi penda tusipende ni chuki dhidi ya Uislamu na El-shababu na haina malengo kabisa ya kuleta amani ya kudumu na kuiepusha Afrika na madahra ya uingiliwaji na nchi kama Marekani kama ilivyotokea huko Vietnam, Marekani ya kusini na Marekani ya kati.
Ikiwa Marekani inatutakia amani kweli basi izipe nchi kama Tanzania, Msumbiji, Sudani, Malagasy na Kenya meli ndogo za kivita ziwe zetu ili kwanza tuanze kumaliza tatizo la utekaji meli za kibiashara nyara.
Kuanza kugeuza sehemu hii ya Afrika kuwa uwanja wa kurushia mabomu kutachangia sana kuharibu hali ya hewa pande hii ambayo kwa hivi sasa tayari imeshaanza kuzua mtafaruku.
Je, kazi ya kurusha mabomu huko Iraq na Afghanistan imekwisha ? AFRIKA TUNASEMA NOOOO, BALOZI WA MAREKANI TANZANIA NOOOO MABOMU RASI YA GUADAFUI NA AFRIKA MASHARIKI!!!!!!