Officer2009
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 560
- 110
Kama namuona vile, nguo zishaanza kuwekwa kwenye begi. Najua ataondoka J'pili akakae huko akila bata hadi siku ya mkutano.
.
Fears of famine and drought are stalking several areas of Africa.
Water shortages have hit communities in Somalia, Ethiopia and Kenya.
Aid groups have also sounded alarm over a separate hunger crisis in the west of Africa where the Sahel region of Burkina Faso, Chad, Mali, Mauritania and Niger has been hit hard by drought, high food prices and conflict.
Safi sana JK, anza kupiga pasi zile suti zako ulizoongwa, delegation ya watu kama 30 muhimu, afu usisahau kwenda na yule mtoto uliye-match nae nguo kwenye ile photo (catherine magige), au kama vp ongea na maximo afanye import ya totoz toka brazil, pia usisahau kuweka sawa mambo ya blad... Check CD5 pia mkuu, akikisha ziko nomo... Wakati wako ndo huu, kula raha...
Atakuwa anafurahia sana, natamani sasa tumpe discpline ndogo! wale jamaa wa hapa dc, tufanyeni kitu sasa huyu mtalii apate akili maana lazima aje!
Fears of famine and drought are stalking several areas of Africa.
Water shortages have hit communities in Somalia, Ethiopia and Kenya.
Aid groups have also sounded alarm over a separate hunger crisis in the west of Africa where the Sahel region of Burkina Faso, Chad, Mali, Mauritania and Niger has been hit hard by drought, high food prices and conflict.