Obama haogopi kuitwa muislamu

Alwaz

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
6,824
10,351

Asilimia kubwa zaidi ya wamarekani wanazidi kutilia shaka kuhusu dini ya raisi wao;Baraka Hussein Obama.Asilimia 18 wanasema ni muislamu na 34 tu ndio wanaosema yeye ni mkristo.
Mwenyewe amenukuliwa akisema:
"It's not something that I can, I think, spend all my time worrying about it," Obama said in an interview with NBC News, dismissing the results of a recent Pew Research Center.
"I'm not going to be worrying too much about whatever rumors are floating out there. If I spend all my time chasing after that, then I wouldn't get much done."

REUTERS
 
Hata baadhi ya wamarekani hawana maana. Dini ya Obama, yo yote ile iwayo, ina uhusiano gani na uongozi wa nchi yao?
 

Asilimia kubwa zaidi ya wamarekani wanazidi kutilia shaka kuhusu dini ya raisi wao;Baraka Hussein Obama.Asilimia 18 wanasema ni muislamu na 34 tu ndio wanaosema yeye ni mkristo.
Mwenyewe amenukuliwa akisema:
"It's not something that I can, I think, spend all my time worrying about it," Obama said in an interview with NBC News, dismissing the results of a recent Pew Research Center.
"I'm not going to be worrying too much about whatever rumors are floating out there. If I spend all my time chasing after that, then I wouldn't get much done."

REUTERS

Kwenye somo la mahesabu sikujifunza asilimia 18 kuwa asilimia kubwa. Idadi hii inalingana na idadi ya Wamarekani wanaoamini ya kwamba jua linazunguka dunia, ya kwamba Obama hakuzaliwa USA, ya kwamba viumbe kutoka anga la nje hutembea duniani na kuiba watu, Serikali ya Washington ilitengenza milipuko kwenye minara ya WTC. Kila imani kati ya hizi hupata takriban asilima 20 za Wamarekani wanaokubali.

Halafu unabadinka kichwa kisicholingana sana na yaliyomo: Alichosema ni ya kwamba hataki kupoteza muda kufuatilia mifumo kwa jumla. Huyu Bwana ana kazi kidogo.
 
Hata baadhi ya wamarekani hawana maana. Dini ya Obama, yo yote ile iwayo, ina uhusiano gani na uongozi wa nchi yao?
Wana haki ya kujua imani ya rais wao....wangekuwa wana hoji dini ya mtu wakawaida hapo tunge washangaa....
 
Wana haki ya kujua imani ya rais wao....wangekuwa wana hoji dini ya mtu wakawaida hapo tunge washangaa....
mbona dini yake inajulikana? Alisema mara kwa mara yeye ni mkristo. Alishambuliwa mara nyingi na wapinzani kwa sababu ya kanisa lake alipoishi Chicago. Wachungaji wanomshauri wajulikana pia.

Mwislamu safi anayebatizwa mwaka 1988, kusali kanisani Chicago miaka 20, aliyeoa kanisani, kula nguruwe, kunywa bia na kadhalika!!!!!

Ni tu ile kempeni ya wachokozi wa FoxNews na wengine wanaoendelea kusambaza eti yeye ni mwislamu.
Kuna watu wenye akili wanaojaribu kumsemea hivyo lakini je, kuna mtu 1 mwenye akili anayeyaamini yeye ni mwislamu ???
 
Wana haki ya kujua imani ya rais wao....wangekuwa wana hoji dini ya mtu wakawaida hapo tunge washangaa....

Mijitu kwa udini!Ndio maana mnamshabikia padri kwavile ni toka dini(dhehebu)lenu.Acheni hizo huo ni mufilisi!
 

Asilimia kubwa zaidi ya wamarekani wanazidi kutilia shaka kuhusu dini ya raisi wao;Baraka Hussein Obama.Asilimia 18 wanasema ni muislamu na 34 tu ndio wanaosema yeye ni mkristo.
Mwenyewe amenukuliwa akisema:
"It's not something that I can, I think, spend all my time worrying about it," Obama said in an interview with NBC News, dismissing the results of a recent Pew Research Center.
"I'm not going to be worrying too much about whatever rumors are floating out there. If I spend all my time chasing after that, then I wouldn't get much done."

REUTERS

Kwa asilimia yoyote itakayosema vyovyote does not matter......... Ingekuwa RAIS wa IRAQ.....labda tungehoji hizo asilimia maana wa huko na kwingineko kunakofanana na huko anatakiwa awe 100% muislam..........
 
Mijitu kwa udini!Ndio maana mnamshabikia padri kwavile ni toka dini(dhehebu)lenu.Acheni hizo huo ni mufilisi!

Mh! hapo hujafikiri vizuri, ina maana na wale wanaomshabikia mgombea wa chama tawala nao ni kwa sababu ya dini yake? Ninavyojua watu wengi wanamfagilia padri kwasababu ya vita yake dhidi ya ufisadi. Na kama rais anapimwa kwa kigezo cha zinaa basi hata wewe muunge mkono huyo padri maana mpinzani wake sio tu anazini na wake wa watu bali pia anawapa hata vyeo achilia mbali kuhatarisha afya zao.
 

Asilimia kubwa zaidi ya wamarekani wanazidi kutilia shaka kuhusu dini ya raisi wao;Baraka Hussein Obama.Asilimia 18 wanasema ni muislamu na 34 tu ndio wanaosema yeye ni mkristo.
Mwenyewe amenukuliwa akisema:
"It's not something that I can, I think, spend all my time worrying about it," Obama said in an interview with NBC News, dismissing the results of a recent Pew Research Center.
"I'm not going to be worrying too much about whatever rumors are floating out there. If I spend all my time chasing after that, then I wouldn't get much done."

REUTERS

Lakini huyu jamaa si jewish, maana Mama yake ni Jew!
 
Kwenye somo la mahesabu sikujifunza asilimia 18 kuwa asilimia kubwa. Idadi hii inalingana na idadi ya Wamarekani wanaoamini ya kwamba jua linazunguka dunia, ya kwamba Obama hakuzaliwa USA, ya kwamba viumbe kutoka anga la nje hutembea duniani na kuiba watu, Serikali ya Washington ilitengenza milipuko kwenye minara ya WTC. Kila imani kati ya hizi hupata takriban asilima 20 za Wamarekani wanaokubali.

Halafu unabadinka kichwa kisicholingana sana na yaliyomo: Alichosema ni ya kwamba hataki kupoteza muda kufuatilia mifumo kwa jumla. Huyu Bwana ana kazi kidogo.

Kipara you right.
 
kwa nini wamuite muislam wakati si muislam! nijuavyo obama anasali church!.. ni hulka ya kibaguzi wazungu waliyo nayo kamwe hawataiwacha!!
 
Obama should just ignore them, if he goes deep in argument he will lose focus.
 
Tittle ya hii thread ina hidden message kutoka kwa mfungua maada.
Labda yeye (Ami) atuelenze anaamini lipi? Obama Muislamu au Mkristo?
 
hayo yapo kwetu tu zanzibar, ma great thinker huwa hawana tym nayo kwani akiwa muislam ni nini cha ajabu?
ama akiwa ni mkristo ni kipi cha kushangaza? uislam hauongozi nchi, wala ukristo, kwa kuwa hizo ni private issue za mtu binafsi.
kuja udini wa mtu ni sawa kujadiri rangi ya nguo ya ndani mtu ambayo hakuna mwenye uhakika na rangi hiyo labda mpaka avue nguo
hadharani ili kuamua juu ya nani ni sahihi katika kushindana, huyo mleta maada nadhania meathiliwa sana ilimu ya mihadhara
 
mbona dini yake inajulikana? Alisema mara kwa mara yeye ni mkristo. Alishambuliwa mara nyingi na wapinzani kwa sababu ya kanisa lake alipoishi Chicago. Wachungaji wanomshauri wajulikana pia.

Mwislamu safi anayebatizwa mwaka 1988, kusali kanisani Chicago miaka 20, aliyeoa kanisani, kula nguruwe, kunywa bia na kadhalika!!!!!

Ni tu ile kempeni ya wachokozi wa FoxNews na wengine wanaoendelea kusambaza eti yeye ni mwislamu.
Kuna watu wenye akili wanaojaribu kumsemea hivyo lakini je, kuna mtu 1 mwenye akili anayeyaamini yeye ni mwislamu ???

hapo kwenye red mbona ni kawaida tu siku hizi!
 
Uzi huu hauna tija. Ina maana katika hali ya kawaida watu wanatakiwa waogope kuitwa waisilamu? Ami inabidi utuombe radhi waisilamu.

unaju mkuuSinkala;
watu wengine wamezoea kulopoka sana wala hawana muda na kuyachunguza madai yao, sasa huuyo Mkuu Ami,
taka kuniambia kuwa kuitwa ni kiroja ama? au ana maana gani
 
Hivi unatarajia nini ukimuuliza mtu ambaye aliyempigia kura John McCain 2008 kuhusu Obama?, Always atakuwa upande wa negative kwani majority ya hao wana prejudices na wanaziendeleza na hawaamini kuwa Blackman can be US president successfully. They do what they can to prove that he is nothing.

For them this is parpetual campaign to oust him in 2012, because thay can't afford to see him succeed. For a complex country like US 18% is insignificant because these are the people who didn't vote and will never vote for Obama whatever best things he will do.
 
Kwenye somo la mahesabu sikujifunza asilimia 18 kuwa asilimia kubwa. Idadi hii inalingana na idadi ya Wamarekani wanaoamini ya kwamba jua linazunguka dunia, ya kwamba Obama hakuzaliwa USA, ya kwamba viumbe kutoka anga la nje hutembea duniani na kuiba watu, Serikali ya Washington ilitengenza milipuko kwenye minara ya WTC. Kila imani kati ya hizi hupata takriban asilima 20 za Wamarekani wanaokubali.

Halafu unabadinka kichwa kisicholingana sana na yaliyomo: Alichosema ni ya kwamba hataki kupoteza muda kufuatilia mifumo kwa jumla. Huyu Bwana ana kazi kidogo.


Hawa watu USA wanaoamini haya ni mbumbumbu au vipi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom