Obama half-brother on drug charge -Je hii ni kuichimba familia ya Obama?

Shadow

JF-Expert Member
May 19, 2008
2,897
671
Obama half-brother on drug charge

George Obama is the President's younger half-brother
The Kenyan half-brother of President Barack Obama has been arrested for alleged marijuana possession.

George Obama was arrested in Nairobi with one joint of marijuana, police chief Joshua Omokulongolo said.

"He is not a drug peddler. But it is illegal, it is a banned substance," he said. Mr Obama has denied the allegations.

The US president and George Obama share the same father, but are thought to have only met each other briefly.

George Obama, who is in his 20s, is due in court on Monday.

"They took me from my home," George Obama told reporters in Nairobi from his jail cell. " I don't know why they are charging me."

Kenyan family

Last year, George Obama told Vanity Fair magazine that he had only met his more famous half-brother twice, once when he was five and once when he visited East Africa in 2006.

Of their second meeting, George reportedly said:"It was very brief, we spoke for just a few minutes. It was like meeting a complete stranger."

He has also said that he is studying to be a mechanic and works with a local youth group in Huruma, the area in Nairobi where he lives with his extended family.

He is the youngest of his father's seven children and was born six months after his father died in a car crash in 1982.

Several of the president's Kenyan relatives went to Washington for his inauguration on 20 January, though George Obama did not.

The American president described his half brother as a " handsome, roundheaded boy with a wary gaze" in his book, Dreams From My Father.

BBC NEWS | Special Reports | Obama half-brother on drug charge
 
Kwani Obama yeye ndio nani jameni? Yaani mtu yoyote mwenye jina la Obama akiguswa hata kihalali watu mtaanza kuhoji kama ni attempt ya kumchimba Baraka, come on now...this is getting beyond ridiculous....it's now a love affair..

Haya basi wamwachie tu hata kama kavunja sheria....Obamas are above the law....free George Obama now....
 
..."He is not a drug peddler. But it is illegal, it is a banned substance," he said. Mr Obama has denied the allegations.

..."They took me from my home," George Obama told reporters in Nairobi from his jail cell. " I don't know why they are charging me."

...some Kenyan police loser seeking publicity stunt! Hovyooo kabisa!!!!

...mbona sio ajabu polisi, jeshi, wakulima nk kuvuta bangi kabla ya kuanza kuwajibika? ...kama sio peddler kwanini mlimfuata nyumbani kwake kumsachi?

Hovyo kabisa hii mi puppet!
 
Kwani Obama yeye ndio nani jameni? Yaani mtu yoyote mwenye jina la Obama akiguswa hata kihalali watu mtaanza kuhoji kama ni attempt ya kumchimba Baraka, come on now...this is getting beyond ridiculous....it's now a love affair..

Haya basi wamwachie tu hata kama kavunja sheria....Obamas are above the law....free George Obama now....

watu ni wepesi wakusahau hivi wakati ule watoto wa Bush walivyokuwa wakienda katika Bar na vitambulisho vya kuhushi na kupata pombe hadi kupombeka mbona hakukuwa na mshangao kiasi hichi leo half brother wa Obama wamemkuta na kiji shushungi kakidogo cha Herbs kwa matumizi yake binafsi imekuwa nongwa
 
Kwani Obama yeye ndio nani jameni? Yaani mtu yoyote mwenye jina la Obama akiguswa hata kihalali watu mtaanza kuhoji kama ni attempt ya kumchimba Baraka, come on now...this is getting beyond ridiculous....it's now a love affair..

Haya basi wamwachie tu hata kama kavunja sheria....Obamas are above the law....free George Obama now....

Nyani

Hapa siyo kumchimba Obama, Ila hawa jamaa wa Kenya wanaona jamaa kawasahau hata kusema kuwa atatembelea Kenya hajasema wakati wao waliishaanza kujenga Uwanja wa ndege ili Air Force One iweze tua karibu na Kogero.

Sasa njia pekee waliyoifanya ni kumkumbusha kuwa kuna ndugu zako hapa hawana kitu mpaka wanauza bangi, ili aifikirie Kenya hawana lolote hao polisi wa Kenya ni strategy ya kuvuta atention ya Obama Kenya. Kuna wauza bangi wangapi wanakatwa kila siku hawatangazwi, Huyu George ni private citizen kumkata na kuita media kuwa tumemkamata Obama ni kitendo cha aibu sana kwa polisi wa Kenya

Walidhani akipata urais basi Kenya itakuwa 51st state ya USA kweli hawa jamaa Hoooovyoooo!!! LOL!
 
Last edited:
Polisi mjini nairobi nchini kenya wanamshikilia George Obama kwa kosa la kukutwa na msokoto wa bangi. George ni mdogo wa mwisho wa Rais wa Marekani Barak Obama.

Kwa mujibu wa taarifa za kipolisi, George alikutwa na mkasa huo katika msako wa polisi mjini nairobi dhidi ya watu wanaouza na kutumia dawa za kulevya. George na Barak wanachangia baba na ni mtoto wa mwisho kuzaliwa kwa Mzee Obama.

Source: TBC news bulletin
 
Polisi mjini nairobi nchini kenya wanamshikilia George Obama kwa kosa la kukutwa na msokoto wa bangi. George ni mdogo wa mwisho wa Rais wa Marekani Barak Obama.

Kwa mujibu wa taarifa za kipolisi, George alikutwa na mkasa huo katika msako wa polisi mjini nairobi dhidi ya watu wanaouza na kutumia dawa za kulevya. George na Barak wanachangia baba na ni mtoto wa mwisho kuzaliwa kwa Mzee Obama.

Source: TBC news bulletin

Liligen angalia hapa.

Mod kweli nawakubali yaani kama mnaangalia stock variation vile ili kuingia kwenye contract. Inatakiwa kabla hujapost unaangalia kama kuna related post.
 
Nyani

Hapa siyo kumchimba Obama, Ila hawa jamaa wa Kenya wanaona jamaa kawasahau hata kusema kuwa atatembelea Kenya hajasema wakati wao waliishaanza kujenga Uwanja wa ndege ili Air Force One iweze tua karibu na Kogero.

Sasa njia pekee waliyoifanya ni kumkumbusha kuwa kuna ndugu zako hapa hawana kitu mpaka wanauza bangi, ili aifikirie Kenya hawana lolote hao polisi wa Kenya ni strategy ya kuvuta atention ya Obama Kenya. Kuna wauza bangi wangapi wanakatwa kila siku hawatangazwi, Huyu George ni private citizen kumkata na kuita media kuwa tumemkamata Obama ni kitendo cha aibu sana kwa polisi wa Kenya

Walidhani akipata urais basi Kenya itakuwa 51st state ya USA kweli hawa jamaa Hoooovyoooo!!! LOL!

kama kweli wanamkakati huo basi unaweza ku-backfire kwani obama (usa)
anaweza kuamua kuzidi kuwa mbali na obamas (kenya) ili wasimchafue.
si unajua masuala ya kutiliana kitumbua mchanga :)
 
Nyani

Hapa siyo kumchimba Obama, Ila hawa jamaa wa Kenya wanaona jamaa kawasahau hata kusema kuwa atatembelea Kenya hajasema wakati wao waliishaanza kujenga Uwanja wa ndege ili Air Force One iweze tua karibu na Kogero.

Sasa njia pekee waliyoifanya ni kumkumbusha kuwa kuna ndugu zako hapa hawana kitu mpaka wanauza bangi, ili aifikirie Kenya hawana lolote hao polisi wa Kenya ni strategy ya kuvuta atention ya Obama Kenya. Kuna wauza bangi wangapi wanakatwa kila siku hawatangazwi, Huyu George ni private citizen kumkata na kuita media kuwa tumemkamata Obama ni kitendo cha aibu sana kwa polisi wa Kenya

Walidhani akipata urais basi Kenya itakuwa 51st state ya USA kweli hawa jamaa Hoooovyoooo!!! LOL!


Ooooooooooh ...... right!!!!!!!!!!!!! ha ha ha anyway wachie wenyewe!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom