hahahaaaa, aisee nimecheka sana baada ya kuangalia avatar yako na kulinganisha na manaeno yako..ok so does that make u a celebrity?cuz ths is celebrity forum...
hahaha naomba mungu akujibu kwa kweli coz tumechoka na huu mgaoAsante mkuu, muda uliopita nimemtumia meseji kuhusu matatizo yetu ya umeme. Nadhani atanijibu
Mwambie khs Kikwete basi....
Leo nimefungua page yangu ya twitter, nusu nizirai kwa furaha baada ya kukuta mmoja wa followers wangu ni Barrack Obama. Kwakweli nimefarijika sana.