Obama coloured kenya?

Exaud J. Makyao

JF-Expert Member
Nov 30, 2008
1,518
22
SOON AFTER INAUGURATION OF BARACK OBAMA, MANY FAMOUS WORLD TOURIST AGENCIES AND INDIVIDUALS HAVE SHOWN THEIR INTEREST TO VISIT KENYA.

PEOPLE WANT TO KNOW AND SEE THE COUNTRY OF OBAMA'S ORIGIN.

KENYA IS LIKE IT WAS COLOURLESS BUT SOON WAS COLOURED AS BARACK OBAMA BECAME U.S PRESIDENT.

I WONDER IF THIS ADVANTAGE WILL ONLY BE FOR KENYA OR CAN EVEN TOUCH OTHER AFRICAN COUNTRIES LIKE MY TANZANIA.

Exaud Makyao
+255784347001
 
kwa sababu wakenya wanajua kujinyanyua vizuri kwa kweli watatumia hiyo adverntage vizuri mno, kama waliweza kutumia kilimanjaro mpaka tulipotoka usingizini recently, hiyo ya obama na Tanzania itakuwa baada ya 10, 20 tocome
 
Miaka miwili iliyopita, serikali ya Kenya iliwahi kujibizana vibaya na Senator Obama wakti huo. Sijui kama bado wanakumbuka

resize.php

Download full size image
Senator Obama ill-informed: Kenyan government

Posted on: Thursday, 31 August 2006, 10:49 CDT
By Tia Goldenberg

NAIROBI (Reuters) - Kenya on Thursday accused Senator Barack Obama, a rising star in America's Democratic party, of making inaccurate criticisms about corruption in the country of his father.

Obama, who is a role model to many in the east African nation, on Wednesday ended what amounted to a homecoming tour during which he declared graft a crisis crippling development and reversing Kenya's democratic gains.

Kenya routinely accuses foreign officials of spouting neo-colonial sentiments when they have criticized the corruption that has plagued the country for decades.

Obama's Kenyan roots had appeared to forestall that tactic.
"Senator Obama made extremely disturbing statements on issues which it was clear he was very poorly informed," government spokesman Alfred Mutua told reporters in Nairobi on Thursday.


Mutua, who recently launched a government public relations campaign urging people to say "I am proud to be a Kenyan" to counter negative media reports, said Obama's views on graft and tribal divisions were unwelcome.

"He chose to lecture the government and the people of Kenya on how to manage our country," Mutua said.

In his various stops around the country, Obama told both ecstatic crowds and senior politicians of the need for transparency to encourage development.

In a speech at the University for Nairobi on Monday, Obama said graft had allowed a Rwandan wanted for war crimes in that country's 1994 genocide to hide in Kenya and that police were a source of insecurity.

Corruption scandals have rocked East Africa's largest economy, spurring the resignations of three ministers, several public inquiries and constant threats by foreign donors to withhold aid.

Kenyans gave the senator a welcome fit for a rock star throughout his trip, sporting T-shirts bearing his face and cheering him in the streets.
Though not born in Kenya, many Kenyans idolize him the way the Irish in the 1960s revered former U.S. President John F. Kennedy -- as a native son who gave them hope for succeeding beyond their wildest dreams.
The senator's tour included a visit to his late father's village in western Kenya, a stroll through Kibera -- one of Africa's largest slums -- and stop at a mobile clinic to get tested for HIV/AIDS with his wife.

His trip started in South Africa, where he criticized that country's controversial AIDS policy. He arrived in Djibouti on Thursday to visit U.S. marines stationed there.
 
Huu ni wakati wetu wa kutafuta wajomba zake Oboma kule Tarime na kuanzisha hoja kwamba babu yake Obama kwao ni Tarime, kwa hiyo original home country ya Ukoo wa Obama ni Mara Tanzania n siyo Kenya. hii itawafanya wakenya wapate raha tuliyoipata sisi wakati wakinadi na kudai Mt Kilimanjaro uko Kenya.
Hii Hii hii
 
Miaka miwili iliyopita, serikali ya Kenya iliwahi kujibizana vibaya na Senator Obama wakti huo. Sijui kama bado wanakumbuka

resize.php

Download full size image
Senator Obama ill-informed: Kenyan government

Posted on: Thursday, 31 August 2006, 10:49 CDT
By Tia Goldenberg

NAIROBI (Reuters) - Kenya on Thursday accused Senator Barack Obama, a rising star in America's Democratic party, of making inaccurate criticisms about corruption in the country of his father.

Obama, who is a role model to many in the east African nation, on Wednesday ended what amounted to a homecoming tour during which he declared graft a crisis crippling development and reversing Kenya's democratic gains.

Kenya routinely accuses foreign officials of spouting neo-colonial sentiments when they have criticized the corruption that has plagued the country for decades.

Obama's Kenyan roots had appeared to forestall that tactic.
"Senator Obama made extremely disturbing statements on issues which it was clear he was very poorly informed," government spokesman Alfred Mutua told reporters in Nairobi on Thursday.


Mutua, who recently launched a government public relations campaign urging people to say "I am proud to be a Kenyan" to counter negative media reports, said Obama's views on graft and tribal divisions were unwelcome.

"He chose to lecture the government and the people of Kenya on how to manage our country," Mutua said.

In his various stops around the country, Obama told both ecstatic crowds and senior politicians of the need for transparency to encourage development.

In a speech at the University for Nairobi on Monday, Obama said graft had allowed a Rwandan wanted for war crimes in that country's 1994 genocide to hide in Kenya and that police were a source of insecurity.

Corruption scandals have rocked East Africa's largest economy, spurring the resignations of three ministers, several public inquiries and constant threats by foreign donors to withhold aid.

Kenyans gave the senator a welcome fit for a rock star throughout his trip, sporting T-shirts bearing his face and cheering him in the streets.
Though not born in Kenya, many Kenyans idolize him the way the Irish in the 1960s revered former U.S. President John F. Kennedy -- as a native son who gave them hope for succeeding beyond their wildest dreams.
The senator's tour included a visit to his late father's village in western Kenya, a stroll through Kibera -- one of Africa's largest slums -- and stop at a mobile clinic to get tested for HIV/AIDS with his wife.

His trip started in South Africa, where he criticized that country's controversial AIDS policy. He arrived in Djibouti on Thursday to visit U.S. marines stationed there.

yes, serikali yetu ilimponda but we still remain the only country he named on his inauguration. eat that you haters
 
SOON AFTER INAUGURATION OF BARACK OBAMA, MANY FAMOUS WORLD TOURIST AGENCIES AND INDIVIDUALS HAVE SHOWN THEIR INTEREST TO VISIT KENYA.

PEOPLE WANT TO KNOW AND SEE THE COUNTRY OF OBAMA'S ORIGIN.

KENYA IS LIKE IT WAS COLOURLESS BUT SOON WAS COLOURED AS BARACK OBAMA BECAME U.S PRESIDENT.

I WONDER IF THIS ADVANTAGE WILL ONLY BE FOR KENYA OR CAN EVEN TOUCH OTHER AFRICAN COUNTRIES LIKE MY TANZANIA.

Exaud Makyao
+255784347001

ati colourless, you niggas is high.. of all the East and Central African country, you cant call Kenya colourless.. we are the only ones bringing colour to EA.. from sports men, presidents, corruption.. name it.. you are as grey as they come, atleast athletics made us famous even before Obama did.. what can bring TZ to the limelight? killing albinos, introvert president(afraid of EAC), socialism,. stop burrying yo heads in the sand and wake up and smell the coffee.. being tooooo good doesnt pay, you just become irrelevant.
 
you niggas is high..

Punguza jazba, kisha matumizi ya lugha ambayo ni tusi kwetu waafrika haifai. Ikiwa kuna kosa basi tulijadili kwa ustaarabu.
I agree alivo tumia colourless ni kosa, lakini si right kwako kujump on the band wagon hadi hata kumzidi.

On the other hand hili swala la kuwa wakenya walidai/wanadai Mt Kilimanjaro iko kwao, limeenezwa sana lakini hakuna mtu anayetoa evidence, kama iko tuonyesheni otherwise tuache propaganda.
 
ati colourless, you niggas is high.. of all the East and Central African country, you cant call Kenya colourless.. we are the only ones bringing colour to EA.. from sports men, presidents, corruption.. name it.. you are as grey as they come, atleast athletics made us famous even before Obama did.. what can bring TZ to the limelight? killing albinos, introvert president(afraid of EAC), socialism,. stop burrying yo heads in the sand and wake up and smell the coffee.. being tooooo good doesnt pay, you just become irrelevant.



Smatta,

Mind your language, haupo kijiweni na wahuni kuongea utumbo.
Kosa halijibiwi na kosa, kama mtu kateleza kidogo muelimishe
then toa point tuendelee kujadili.

Hiyo introvert President( afraid of EAC una uhakika??), are we
that much dumb to avoid EAC? just understand there are issues
need to be addressed first before moving on.....
 
On the other hand hili swala la kuwa wakenya walidai/wanadai Mt Kilimanjaro iko kwao, limeenezwa sana lakini hakuna mtu anayetoa evidence, kama iko tuonyesheni otherwise tuache propaganda.

Mt. Kilimanjaro sio yetu, lakini its a fact that we are reaping more benefits than you on that case. We are cashing in alot on Mt. Kilimanjaro, and most of your leaders know that.. Its a case of one hand washing the other.
 
Mt. Kilimanjaro sio yetu, lakini its a fact that we are reaping more benefits than you on that case. We are cashing in alot on Mt. Kilimanjaro, and most of your leaders know that.. Its a case of one hand washing the other.

LOL! dream on. I think you are still living in 1994.

That might have been the case a decade or so ago but as of now you are not reaping more benefits from Kilimanjaro. Check your so called facts.
 
Huu ni wakati wetu wa kutafuta wajomba zake Oboma kule Tarime na kuanzisha hoja kwamba babu yake Obama kwao ni Tarime, kwa hiyo original home country ya Ukoo wa Obama ni Mara Tanzania n siyo Kenya. hii itawafanya wakenya wapate raha tuliyoipata sisi wakati wakinadi na kudai Mt Kilimanjaro uko Kenya.
Hii Hii hii

Kwa Taarifa tu, Babu yake Obama aliwahi kuishi Zanzibar akifanya kazi za Hoteli kipindi cha Ukoloni na akasilimishwa na kuozwa mtoto wa kiZanzibari na huo ndio ukawa mwanzo wa kuingia Uislam katika Ukoo wa Obama.
Hivyo Shangazi yetu wa kizenji ana Mjukuu anaongoza kule amerika.

Wazenji mpooo?
 
Kwa Taarifa tu, Babu yake Obama aliwahi kuishi Zanzibar akifanya kazi za Hoteli kipindi cha Ukoloni na akasilimishwa na kuozwa mtoto wa kiZanzibari na huo ndio ukawa mwanzo wa kuingia Uislam katika Ukoo wa Obama.
Hivyo Shangazi yetu wa kizenji ana Mjukuu anaongoza kule amerika.

Wazenji mpooo?

everybody wants a piece of Obama... hata Uganda walikuwa wanasema babu yake Obama alizaliwa kwao.... twende kazi!!! Only kogello rocks!!!! Na kogello ni moja tu!


Ever heard of this.... 'I come from Tanzania.'

Kisha ukaulizwa... "Tanzania in Kenya??
 
Mt. Kilimanjaro sio yetu, lakini its a fact that we are reaping more benefits than you on that case. We are cashing in alot on Mt. Kilimanjaro, and most of your leaders know that.. Its a case of one hand washing the other.

Then you are celebrating the same money to be stolen by your leaders thrlugh corruption and embezzlement. If you are cashing a lot from from Mt. Kilimanjaro kuliko sisi mbona barabara zenu mbovu kuliko zetu ambao hatu cash alot. Jiulize KRA inakusanya kodi mara kumi kuliko TRA, je, zinaenda wapi zaidi ya kuliwa na wajajna?
 
Huu ni wakati wetu wa kutafuta wajomba zake Oboma kule Tarime na kuanzisha hoja kwamba babu yake Obama kwao ni Tarime, kwa hiyo original home country ya Ukoo wa Obama ni Mara Tanzania n siyo Kenya. hii itawafanya wakenya wapate raha tuliyoipata sisi wakati wakinadi na kudai Mt Kilimanjaro uko Kenya.
Hii Hii hii

Kwa pamoja watanzania tuungane kwani OBAMA ni mjomba wetu, Porfessor Sarungi amelithibitisha hili, hivyo tusiwape wakenya nafasi kwa hili.

Wacha tarime kijiji cha KOWAK kiwe new American tourist destination.
 
Then you are celebrating the same money to be stolen by your leaders thrlugh corruption and embezzlement. If you are cashing a lot from from Mt. Kilimanjaro kuliko sisi mbona barabara zenu mbovu kuliko zetu ambao hatu cash alot. Jiulize KRA inakusanya kodi mara kumi kuliko TRA, je, zinaenda wapi zaidi ya kuliwa na wajajna?

Have you been to Kenya of late, ama mwadhani tukimponda kibaki amelala tu hakuna kazi inaendelea.. Roads are being built day and night my brother.. Nrb is only 4 years away from being a metropolitan, and this is serious stuff. we only look corrupt coz we have a very good media portraying the dirt in gvt, and thats what is failing on your side. Your media is muzzled and thus nothing is ever exposed.. Kenya is usually a diversion from yo political class,.. ati waangalie wakenya hawana undugu.. dont be fooled bro, just because you dont wash your linen doesn't necessarily mean that they are clean, we wash ours and most of the time in public, this doesnt mean that we are more dirty than you are, it only means that we expose ours and you keep yours hush hush. tafakari hayo babu.
 
Kwa pamoja watanzania tuungane kwani OBAMA ni mjomba wetu, Porfessor Sarungi amelithibitisha hili, hivyo tusiwape wakenya nafasi kwa hili.

Wacha tarime kijiji cha KOWAK kiwe new American tourist destination.

this is just plain talk, be it true or false, your goverment wount do anything about it, Prof Sarugi ataongea and nothing will be done.. nada
 
this is just plain talk, be it true or false, your goverment wount do anything about it, Prof Sarugi ataongea and nothing will be done.. nada

SMATTA,
Kumbe iko hivyo?
Ujomba kwa OBAMA hautatusaidia.
Lazima tujipange sawa sawa kama tunataka watalii.
 
Kwa pamoja watanzania tuungane kwani OBAMA ni mjomba wetu, Porfessor Sarungi amelithibitisha hili, hivyo tusiwape wakenya nafasi kwa hili.

Wacha tarime kijiji cha KOWAK kiwe new American tourist destination.

WALEED,
Tukitegmea ujomba tutaumia.
Watalii wanahitaji kuandaliwa mazingira ya kufaa.
 
LOL! dream on. I think you are still living in 1994.

That might have been the case a decade or so ago but as of now you are not reaping more benefits from Kilimanjaro. Check your so called facts.

ALPHA,
You are very right.
People should not boast of day dreams.
 
everybody wants a piece of Obama... hata Uganda walikuwa wanasema babu yake Obama alizaliwa kwao.... twende kazi!!! Only kogello rocks!!!! Na kogello ni moja tu!


Ever heard of this.... 'I come from Tanzania.'

Kisha ukaulizwa... "Tanzania in Kenya??

SHISHI,
Tukiendelea kumgombania OBAMA, tutapoteza lengo la makala hii.
Lengo kuu la makala hii ni kuchochea nchi zetu, kuimarisha sekta ya utalii.
 
Back
Top Bottom