Mwenda_Pole
JF-Expert Member
- Jul 5, 2008
- 281
- 66
Bado na wewe umekosea kwa ku Conceal indentity ya mtu hapa.
Hata kama amekosea si vizuri kuweka jina lake hapa.
Mbaya zaidi watu wameonyesha racism ya wazi wazi.
Hizi ndio zinazotu cost sana katika mambo mengi ya kimaendeleo, eti mbona unaonyesha racism wazi wazi..!!!
Mkuu MF nafikiri zama za kuumia chini kwa chini zimekwishapita, unafikiri huyo Gabachori ama magabachori wengine waliojaa kibao TZ na sisi ni nani anaonyesha racism waziwazi..??? ustaarabu usio na mpango ndio unatumaliza. mambo ya kumpa mgeni kitanda na wewe kulala chini yalikuwa enzi za mababu zetu. huyo mgeni anachukua kitanda na mke then unachekelea eti nimemkarimu. achana kabisa na hawa watu. let me stop here before i smash my keyboard into pieces