..wanaomkandia Obama kwanza waulizwe kuhusu elimu yao, na pia kama wametembea nje ya Marekani.
..halafu unaweza kukuta Wamarekani wanamfokea namna hiyo, halafu wenyewe wakitoka hapo wanakwenda kula Chinese food!!
NB:
..Obama anaonekana ameinama zaidi kwasababu ya tofauti ya kimo/urefu kati yake na Mfalme wa Japan.
..nakumbuka Mzee George Bush Sr alikwenda Japan akazidiwa na ugonjwa basi aliishia mpaka kumtapikia Waziri Mkuu wa Japan. Wamarekani walitubuka huijapata kutokea.
..halafu unaweza kukuta Wamarekani wanamfokea namna hiyo, halafu wenyewe wakitoka hapo wanakwenda kula Chinese food!!
NB:
..Obama anaonekana ameinama zaidi kwasababu ya tofauti ya kimo/urefu kati yake na Mfalme wa Japan.
..nakumbuka Mzee George Bush Sr alikwenda Japan akazidiwa na ugonjwa basi aliishia mpaka kumtapikia Waziri Mkuu wa Japan. Wamarekani walitubuka huijapata kutokea.