Obama bows to Japanese Emperor, Empress...Maswali kibao!

..wanaomkandia Obama kwanza waulizwe kuhusu elimu yao, na pia kama wametembea nje ya Marekani.

..halafu unaweza kukuta Wamarekani wanamfokea namna hiyo, halafu wenyewe wakitoka hapo wanakwenda kula Chinese food!!

NB:

..Obama anaonekana ameinama zaidi kwasababu ya tofauti ya kimo/urefu kati yake na Mfalme wa Japan.

..nakumbuka Mzee George Bush Sr alikwenda Japan akazidiwa na ugonjwa basi aliishia mpaka kumtapikia Waziri Mkuu wa Japan. Wamarekani walitubuka huijapata kutokea.
 
Kool-Aid is so full of sugar, please refrain from using such life threatening insults.

Obama anawafundisha Wamarekani kwamba enzi za kufikiri wao wako juu ya dunia na kila mtu ni mtumwa wao zimaisha, everybody must play nice now.Kwanza kaenda kwa bankers wao huko Asia.

One must be respectful towards one's banker, especially if one is just above bankruptcy, less the banker rescind some pipelined loans or something.

Usawa huu atabow mpaka kwa Hu Jintao.

But seriously, out of all the stories is this the best negative story people can do about Obama?

If it is then he must be doing pretty good.

Nadhani ishu hapa ni mambo ya protokali tu. Anavyoinama inama hivyo anavunja protokali. Zaidi ya hapo ni siasa na soga tu.
 
..wanaomkandia Obama kwanza waulizwe kuhusu elimu yao, na pia kama wametembea nje ya Marekani.

..halafu unaweza kukuta Wamarekani wanamfokea namna hiyo, halafu wenyewe wakitoka hapo wanakwenda kula Chinese food!!

NB:

..Obama anaonekana ameinama zaidi kwasababu ya tofauti ya kimo/urefu kati yake na Mfalme wa Japan.

..nakumbuka Mzee George Bush Sr alikwenda Japan akazidiwa na ugonjwa basi aliishia mpaka kumtapikia Waziri Mkuu wa Japan. Wamarekani walitubuka huijapata kutokea.

Wewe unasound kama anti-White au anti American.
 
Julius,

..Wamarekani wanapaswa kuangalia kama Raisi wao amewa-offend Wajapan kwa jinsi alivyomsalimia Mfalme wa Japan.

..kama Wajapan hawajakuwa offended basi Obama amefanya jambo jema, na hakuna sababu ya msingi kwa Wamarekani kulalamika.

..Wamarekani wanapaswa kuelewa kwamba wana-gain zaidi kwa kuheshimu tamaduni na itifaki za mataifa mengine kuliko kinyume chake.
 
Huyo Emperor urefu ft 2 unusu, sasa ili amuone eye-to-eye angefanyaje zaidi ya kuinama?
 
Back
Top Bottom