Rais Obama,ameonekana bila pete ya ndoa,imekuwa kasheshe,wakati sie huku Tz President anavaa mipete kibao,mpaka cheni ,au saa mbili.kama Rais aliyepita Mkapa na bila pete ya ndoa.wala inakuwa sio hoja,kwa jinsi tulivyo wadanganyika sie watanganyika,loooh???
Jamani hebu tuchanjie kwa hii.mie sijaelewa imekuwaje kati yake na mkewe Michelle????
Jamani hebu tuchanjie kwa hii.mie sijaelewa imekuwaje kati yake na mkewe Michelle????