Obama becomes first US President to support gay marriage

Bad move...

Indiana, Iowa, North Carolina, and possibly Ohio will all go red in November.

Mitt Romney was a guy while in High school, his partner
confirmed it, & Romney beat a girl who started relationship with his guy partner.... so today Mitt Romney opposses same sex marriage of which he was a guy till he meet Ann when he changed & got married....
 
Mitt Romney was a guy while in High school, his partner
confirmed it, & Romney beat a girl who started relationship with his guy partner.... so today Mitt Romney opposses same sex marriage of which he was a guy till he meet Ann when he changed & got married....

Andika kiswahili ndugu yangu, GUY ni tofauti na GAY.

Mwisho wa dunia huooooooooooooo, tuupokee na tuzidishe ucha mungu wajamen
 
Haya mambo ya ndoa ya jinsia moja tuwaachie wa Marekani wenyewe!Sisi tum-pressurized Prof Mhongo atuletee kwanza umeme bana!

Taifa ambalo halina hata maji saafi ya kunywa wala huduma za matibabu hasa kwa watoto na akina mama linakaa kujadili ndoa za jinsia moja tena za Wamarekani wenye kila kitu kwenye huduma zao za jamii?
 
2ZvQg.jpg



full_1303407929gaymarriagelegal.jpg

 
freeemasons aka agents wa shetani ibilisi wako kazini kuanzia obama na wadau wake wote..

joyce kama m2 hatak kufatilia habar za hao watu achana nao, zko agenda zao na mmbo yao kbao ktk mitandao, kama ww ukitaka habar unarukia google ndio umemaliza bas hapo ndio kilele chako kujua. Tafakar kwann shetan hapend binadamu co ajabu wako wasiojua hili!
 
...Mimi nafikiri wakati mwingine tunapotea sana katika mjadala huu wa ushoga, na nitaeleza kwanini:-
1. Mjadala unajikita katika kumlaumu Obama na kujiaminisha kuwa marekani wakiridhia ndoa za jinsia moja (na sioni watu wakilaani usagaji kwa kiwango sawa na us*nge) basi Tanzania hatuna jinsi.
2. Wengi tunaegemea katika maandiko ya dini (Uislamu na Ukristo), na kusahau kuwa hawa tunaowajadili pengine hawako katika makundi haya ya dini. Tuna uhakika kuwa hawa "mashabiki" wa vitendo hivi wanaya jua "maadiko matakatifu" .
3. Kuna kundi linalotaja maadili ya Watanzania yatakuwa hatarini. Hivi Tanzania kama taifa tumeinisha mahali popote maadili ya taifa hili?

Hivyo nashauri tuendeleze mjadala huu, huku tukiepusha lugha za kejeli/matusi kwa wenye mtazamo tofauti; pia tuweke sawa tunachokataa ni nini? ndoa za jinsia moja, vitendo vya ushoga (kwa maana yake pana, wanaume/wanaume na wanawake/wanawake) au vyote kwa pamoja. tujikite pia kujadili je,tunawanusuru vipi watoto/wadogo zetu badala ya kupoteza muda kuwaombea mabaya Obama na cameroon, kwa sababu nafikiri kwwa hili tumechelewa sana. Tujadili namna gani watoto wetu wanafundishwa kujitambua na kuzifahamu stadi za maisha (life skills) n.k

1. Nakubaliana na hoja zako hapo juu, watu wengi humu wanapoteza ama hawaelewi mwelekeo mzima wa hayo maoni ya Obama. kwanza sio kukubali au kukataa ushoga, tayari Obama alishaweka wazi kuwa anawasupport mashoga suala hapa ilikuwa ni ndoa ya mashoga. States nyingi marekani zinatambua uwepo wao ila haziruhusu wao kufunga ndoa na hapo kuna tofauti, alichofanya Obama ni kusema yeye anasupport ndoa kwa mashoga ila jukumu hilo kulifanya sheria litakuwa juu ya state by state.

2. Ni kweli wengi wetu humu tumejikita zaidi na katika maandiko ambayo hayohayo (Korani/Biblia) zilitumika kwa mamia ya miaka kutukandamiza sisi watu weusi kuwa watumwa na second citizen even 3rd duniani kote including hapa kwetu Afrika!! what an irony leo hii sisi waafrika tunatumia vitabu hivyohivyo vilivyotukandamiza eti kutupa moral authority, morality ipi, wenzetu wanaangalia mambo kwa mapana sasa hawa watu wapo na hata kwetu wapo pia.

3. We are a nation of moral bankruptcy!!! big time kuanzia wanasiasa hadi wananchi, hatusomi vitabu hatutaki kujua ukweli zaidi tunasoma biblia/korani na magazeti ya udaku no joke. Taifa letu limefilisika kimaadili kwa kiasi cha kutisha inasikitisha kwa kweli na kua hili suala linaendeshwa na kupigiwa debe na mashehe na maaskofu ambao pia wanadai wana uwezo wa kutoa pepo na kufufua watu tells you a lot.

Mashoga wasagaji wapo dunia nzima, kwenye jamii zote na kote huko ni minority hata marekani na ulaya bado ni minority kama hapa kwetu...suala ni kuwa je jamii zetu ziko sober enough to admit so au tuendelee kusikia makelele kwa kigezo cha vitabu ambavyo vilitumika kutunyanyasa in the first place

Nawakilisha
 
Hatimaye Rais Barack Obama amekubali ndoa ya jinsia moja nchini humo huku akisema kuwa wananchi wa nchi yake wana haki ya kufanya kitu hicho.

Wakati akikubali ndoa hiyo, mpinzani wake katika uchaguzi mkuu, Mitt Romney, wa chama cha Republican, alisema bado anabakia kupinga ndoa hiyo.

Romney alisema suala la ndoa za kawaida ni jambo lingine tofauti na hizo ndoa za jinsia moja.

Kauli ya Rais Obama imekuja siku moja baada ya Jimbo la North Carolina kupitisha mabadiliko ya Katiba ya Jimbo hilo, yanayofafanua kuwa ndoa ni muunganiko kati ya mwanaume na mwanamke.

Wadadisi wa mambo walisema Obama anakuwa Rais wa kwanza wa Marekani kuunga mkono ndoa za jinsia moja, suala ambalo limeleta mgawanyiko miongoni mwa raia wa Marekani. Hata hivyo kumekuwa na maoni tofauti miongoni mwa Wamarekani kuhusu kuunga mkono ndoa ya aina hii.

Rais Obama alisema amejadili suala hilo na familia, marafiki, na majirani kwa muda mrefu na kutilia maanani wafanyakazi wenzake na askari ambao wamejikita katika uhusiano wa mapenzi ya jinsia moja.

SOURCE: Tanzania Daima - May 11, 2012.
 
Mimi nilidhani ni Cameron peke yake, kumbe wako wengi. Kama huu ndio msimamo wake (Obama) natangaza rasmi kumdharau pamoja na "heshima" aliyojijengea sio miongoni mwa waafrika tu bali duniani kote pamoja na tuzo lake la Nobel.
 
The guy was always talking about changes, Kumbe changes zenyewe ndo alikua anamaanisha...Juma na bakari kuoana huku happiness na josephine wakifunga ndoa takatifu

1. "Yes We Can"

2. “Change” versus “More of the Same”

3. "Vote for Change"

4. "Change We Can Believe In"

5. "Our Time for Change"

6. "It's about Time. It's about Change"

7. "Stand for Change"

8. "Organize for Change"

9. “We are the change we’ve been looking for. Change can’t happen without you.”

10. "I’m asking you to believe. Not just in my ability to bring about real change in Washington . I'm asking you to believe in yours."


11. "A leader who can deliver change"


12. "Change in America doesn't start from the top down. It starts from the bottom up."

13. “Obama Momma”

14. "Women for Obama"

15. "Obama for America "

16. "A New Beginning"

17. "Help me take back America "

18. "My President is Black"

19. "Eight [years] is Enough"

20. " America , we cannot turn back. We cannot walk alone."

21. "We must pledge once more to walk into the future."
 
Bad move...

Indiana, Iowa, North Carolina, and possibly Ohio will all go red in November.

Why?

Nilidhani America is land of freedom. Hata hivyo nadhani kila mtu ana uhuru na mwili wake au kuishi maisha Yale maradi tu haingilii wala kusumbua wengine, kitu ambacho nadhani ndiyo Obama anachomaanisha.
 
Moderator,peleka hii MMU,tutaijadili vizuri na kina Boflo,kuna watoto hapa!
 
Why?

Nilidhani America is land of freedom. Hata hivyo nadhani kila mtu ana uhuru na mwili wake au kuishi maisha Yale maradi tu haingilii wala kusumbua wengine, kitu ambacho nadhani ndiyo Obama anachomaanisha.

Hivi umeelewa nilichoandika?
 
Mimi nilidhani ni Cameron peke yake, kumbe wako wengi. Kama huu ndio msimamo wake (Obama) natangaza rasmi kumdharau pamoja na "heshima" aliyojijengea sio miongoni mwa waafrika tu bali duniani kote pamoja na tuzo lake la Nobel.

(your name),
You know what, it was long known that he's leaning towards gay rights, actually from the outset.

Of coz I'm not suprised that he's made his views publicly known now, my suprise is how he kept that open-secret till now!

Obama has never win any quantity of esteem from me, anyway. But who am I?
 
Maybe it is about time people left their religious morals out of everyone else's bedrooms!

 
Kila nchi ina historia yake.Hilo ni a fact.Mfano miaka a 1950's, kulikuwepo na states nyingi tu zilizokuwa zikiban interracial marriages.That is a different era and this is a new era.

Tatizo kubwa ni kushidwa kutofautisha kati ya state and religious affairs, huo ndo unafiki wa seriali nyingi tu, US ikiwemo.Ukweli ni kwamba kuna wanaoamini kuwa US is a Christian Nation.At the same time, wanasema kuwa religion and govt should be separated.

Kiukweli, serikali ya marekani, inatambuwa unions bila kujali ni za dini gani.Hilo ni muhimu ili watu waweze kupata haki zao za kimsingi, mfano insurance nk.

However nashangazwa na emotions zinazochangiwa na hisia za dini.

You can call it a civil union, wanaosema marriage, ni kwasababu za kisiasa tu.

Tatizo liliopo ni kwamba watu hao nao wako wengi, na issue ishakuwa kuhsuiana na haki za kibinadamu.
 
Back
Top Bottom