Mahanjam
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 376
- 173
kulingana na mambo yanavyoenda utasikia siku moja Rais atatangaza hatuna budi kukubali kwakuwa wanatupatia misaada
nyie subirini tu.
Na kwasababu hatujiamini, tusubiri gharka za nguvu! Hii ni kutafuta laana, fate siku zote ipo mikononi mwetu! Tujaindae kwa hali ngumu sana kimaisha, kwani huku ni kumkosea Muumba wetu kwa kupituka mipaka aliyotuwekea. Ama kwa hakika wenye macho na tuone na wenye masikio na tusikie, Mungu atunusuru sie na vizazi vyetu!!