Obama awarded 2009 Nobel Peace Prize

1. Begin removing combat brigades from Iraq - nada - Unafahamu kwamba sasa hivi brigade zinazoondoka zinakuwa replaced by less number ya support forces mkuu? Haiwezekani kufunga mahema within a week na kuondoka, kunafanyika strategic decrease mkuu.....

2. Send two additional brigades to Afghanistan - hii muda simrefu atafanya, lakini alitakiwa kutoa majeshi yake kule. - Again kamanda, ndio maana baada ya memo kuleake na Bob Woodward kuichapisha kwenye Wash Post kuwa generali anaomba majeshi zaidi badala ya kupunguza ndio kelele zimekuwa nyingi...lakini jamaa aliomba majeshi the first week aliyofika Afghanistan which is against his campaign promise.

3.End the use of torture - hii bado imekaa kisiasa zaidi jamaa zake bado wa torture na kuuwa raia wema kwenda mbele. - Dah mazee huwa unapataga nyuzi zako kutoka wapi mkuu...executive order mbona imeshatoka kitambo tu kusimamisha shughuli zote za torture.

4. Close the Guantanamo Bay Detention Center - Amefikia wapi, siasa - Umesahau mkuu kama alisema within a year give or take?? Predecessor alikuwa anawalundika tu kule sasa wamekuwa liability, ananegotiate na nchi duniani kuwachukua...ikishindikana wote wanakwenda lupango SuperMax Colorado mkuu....huko hatoroki mtu..

5. End warrantless wiretaps - Amefikia wapi, same as Mr Bush japokuwa alikuwa against naye. - Hivi sasa zinakuwa approved na FISA court kabla ya kuwa executed, kuliko ilivyokuwa before, zinasainiwa west wing. Haya ni mambo ya usalama wa nchi, kama ulikuwa na idea ya kuwa angesema zisimamishwe, basi ulikuwa hufuatilii saga lilivyotemwa na NYT.

6. Seek verifiable reductions in nuclear stockpiles - Tusubili hii kama itatokea - Couple of weeks ago Hillary alilizungumzia kwa kirefu tu....youtube it.....

7. Provide a path to citizenship for undocumented immigrants - Hakuna lolote alilofanya so far. - Anayoyafanya sasahivi tu anapigiwa kelele kuwa anajugle many balls at once.....ndio kwanza miezi minane tu hiyo mkuu....subiria sometimes next year....
8. Reform mandatory minimum sentences - Nada - Mkuu umesema reform; reforming federal law kwa nchi kubwa kama America ni long process, sio kwamba jamaa ataamka asubuhi aende rose garden na kusema unavyofikiria aseme. Ni legal rocess; AG Holder alishaulizwa around June kuhusu hilo, akasema litatakiwa lianze kwenye congressional stage, na nina imani unajua congress ilikuwa imegubikwa na nini all summer long.

9. Secure nuclear weapons materials - Subirini muone kama hii kitu itatokea - Litatokea kama proposal zake zilizopo the Hill akina Boehner na McConnell watazikubali bila siasa nyingi.

10. Reduce oil consumption by 35 percent - Nada - Unatakiwa kuishi by example....hybrid tax credit, oil efficient motorcade na mengineyo....akina Hullibuton na Harken Energy Corporation hawatowatumia powerful lobyists kuzuia....

11. Create cap and trade system with interim goals to reduce global warming - Anasua sua bado. - Mbona hii mlimpigia kelele wakati ule wa kampeni???

Una jingine???



Mwazange mkuu,

Tupo kurasa moja katika hili, ukiangalia hizo ni baadhi tu ya ahadi alizotoa ambazo kwa maana moja au nyingine zinaendana na maswala ya amani, hadi sasa hajafikia popote, sijapinga kwamba hatafanikiwa lakini kwa sasa mambo mengi hajayafanya kutokana na kuwa amekuwa ofisini kwa muda mfupi. Ana mipango mizuri na madhubuti lakini bado hajatekeleza bado kutikana na muda, kinga aliyonayo sasa hivi ni muda duu.

Sasa hawa jamaa wa Nobeli wamempa kwa vigezo gani.

Kwa ajili ya mazungumzo na Iran au North Korea...???

MJ
 
Mwazange mkuu,

Tupo kurasa moja katika hili, ukiangalia hizo ni baadhi tu ya ahadi alizotoa ambazo kwa maana moja au nyingine zinaendana na maswala ya amani, hadi sasa hajafikia popote, sijapinga kwamba hatafanikiwa lakini kwa sasa mambo mengi hajayafanya kutokana na kuwa amekuwa ofisini kwa muda mfupi. Ana mipango mizuri na madhubuti lakini bado hajatekeleza bado kutikana na muda, kinga aliyonayo sasa hivi ni muda duu.
Sasa hawa jamaa wa Nobeli wamempa kwa vigezo gani.
Kwa ajili ya mazungumzo na Iran au North Korea...???
MJ
Shukran mkuu kama tumepiga hatua ya kuwa same page mkuu.....
Hebu mcheki mchea akitoa sababu [ame="http://www.youtube.com/watch?v=jDygJXC4OFM"]hapa[/ame]....Sio lazima kila mtu awe Albert Einstein kupata Nobel mkuu...
 
Hata CUBA sasa kuna mazungumzo ya hali ya juu sana kati ya maofisa wa US na Cuba ili kuweka mambo sawa baada ya vikwazo vya zaidi ya miaka 50,hata mbishe mumtukane Obama lakini deep down mnajua anataka amani kwa kila mtu bila uonezi wowote,nasikia yule sheriff wa Arizona naye kina Obama wameshamwambia aache upuuzi towards immigrants na Justice Dept inamchunguza...sijawahi ona wapenda vita,roho mbaya,wabaguzi kama rightwingers wa Julius AKA Ngabu!
 
Kweli kafanya vizuri katika kipindi hichi cha miezi 8 alichokuwa rais.Hii nobel prize kwa kigezo cha amani mie naona ilikuwa bado. Nadhani wameamua kumpa kwa sababu ni first black america kuwa president. Congrats president Obama, wamekupata changamoto ya kufanya kazi zaidi.
 
Very good point...
Nina imani umetake time kusoma hadi hii....:):)

MIKHAIL GORBACHEV, FORMER SOVIET LEADER AND NOBEL PRIZE WINNER
I am happy. What Obama did during his presidency is a big signal, he gave hope. In these hard times people who are capable of taking responsibility, who have a vision, commitment and political will should be supported.
 
wangempa kwanza waziri mkuu wa zimbabwe iliyeonja joto ya jiwe, thanks the money has gone to our fellow black man.
 
corner_dg_TL.gif

The CNN Wire Latest updates on top stories
October 9th, 2009
Obama to donate Nobel prize money to charity
Posted: 02:04 PM ET
WASHINGTON (CNN) - President Barack Obama will donate the roughly $1.4 million award from his 2009 Nobel Peace Prize to charity, a White House spokesman said Friday.










Source:http://cnnwire.blogs.cnn.com
 
Reaction on the Obama's prize, majority seem to agree with selection for the winner of 2009 Noble prize for peace

Angela Merkel, German chancellor
Angela Merkel congratulates Barack Obama on his Nobel Peace Prize which establishes " an incentive for the president and for us all " to make even more for the peace.
Barack Obama " managed in a short time to establish a new tone and to allow an opening the dialogue ". This price establishes a " incentive for the president and for us all to work even better at the peace in the world ", underlined the preservative chancellor. (Statement in the press, on Friday, October 9th)

Lech Walesa, Nobel de la Paix in 1983 and Polish former president
" Who, Obama? If fast? Too fast! He had no time to make whatever it is. For the moment he is only proposing ", asserts Lech Walesa.
" Sometimes, the Nobel committee gives its price to encourage a responsible action. Then, let us give to him a luck, to Obama ". (Statement to AFP, on Friday, October 9th)

José Manuel Barroso, president of the European Commission
" The allocation of the price to the president Obama, the leader of the most important military power in the world, at the beginning of its mandate, is the reflection of the hopes that he lifted at the world level with his vision of a world without nuclear weapons ". " This price is an encouragement for the commitment of all those who can contribute to create a more safe world ". The price also establishes " a gratitude of the waits created everywhere by the will of the president Obama to work in narrow collaboration with the partners of the United States to shape world answers to the international challenges with which we are confronted today ", estimated the leader of the European executive. (Communicated on Friday, October 9th)

Silvio Berlusconi, Italian leader of the government
" We heard during the Council of Ministers that the (Price) (Nobel) of the peace was attributed to Barack Obama and we applauded with conviction ", tells Silvio Berlusconi. The American president will have to observe henceforth " an oecumenical behavior " towards the whole world, he estimates. Two weeks ago Silvio Berlusconi had again qualified Barack Obama and his wife Michelle of "tanned". (Statement, on Friday, October 9th)

Vatican
" The allocation of Nobel of the peace to the president Obama is favorably welcomed in Vatican in the light of the commitment demonstrated by the president in favour of the promotion of the peace to the international level and in particular, completely recently, in favour of the nuclear disarmament ", declared the spokesman of Vatican, father Federico Lombardi. " We hope that this very important price will still encourage more this difficult but fundamental commitment for the future of the humanity ". (Statement in the press, on Friday, October 9th)

Anders Fogh Rasmussen, General Secretary of the NATO
" As the committee Nobel declared it, the president Obama made extraordinary efforts to strengthen the diplomacy and the international cooperation between the peoples ". The American president " also demonstrated his commitment resolved to help to build the peace and to defend the fundamental human rights, including by the Atlantic Alliance. This honor is deserved well ". (Communicated, on Friday, October 9th)

Mairead Corrigan Maguire, Nobelist of the peace 1976
The North Irishwoman, rewarded with Betty William for a campaign of walking for the peace in the British province then mined by the interreligious violence, criticizes the allocation of the price to the American president considering that it is about a "very sad" decision. " The president Obama again has to prove that he is going to make seriously move things in the Middle East, and that he will end the war in Afghanistan and many of the other problems ". " The Nobel committee did not fill the criteria indicated in Alfred Nobel's will, because it had stipulated that the price must be given to people who end the militarism and are for the disarmament ". (Statement, on Friday, October 9th)
 
As much as i am a supporter of Obama, i think it is too early for him to recieve this award. On the other hand i hope this does encourage him to work harder towards a better world.

Not deserving (yet). but if it spurs him to work harder then i'm all for it.
 
wameua kabisa hadhi ya hii tuzo...huwezi kumpa mtu Nobel kwasababu ameahidi mambo...wengi mnaquestion wakina Tutu, wakina Tutu na wengine walipigana sana peacefully na apartheid and was a unifying leader against apartheid system. Obama ni ahadi tu, hamna lolote, Guantanamo hajafunga bado, anapigana afghanistan bin laden yuko pakistan, Iraq bado wamejaa tele...peace gani jamaa ana miezi 9 tu ofisini gumzo tu kama JK, speech kibaao no action bado, hongera zake ila commitee imechemsha. Nobel fixi tu nobel prize za maana zilizobaki ni za science tu
 
and..on what achievement has he won such a prize?Weka kitu inayojisupport kaka...au bado unabofyabofya!

...his initiatives to reduce nuclear arms, ease tensions with the Muslim world and stress diplomacy and cooperation rather than unilateralism.

Kusupport, Previous Jamii-Member,
B.
 
corner_dg_TL.gif

The CNN Wire Latest updates on top stories
October 9th, 2009
Obama to donate Nobel prize money to charity
Posted: 02:04 PM ET
WASHINGTON (CNN) - President Barack Obama will donate the roughly $1.4 million award from his 2009 Nobel Peace Prize to charity, a White House spokesman said Friday.
Source:http://cnnwire.blogs.cnn.com

Obama is already Rich and Famous, and $1.4Mil Wont Hurt him that bad!, In turn it will help him Painting a wonderful portrait in-front of the People he is serving and those few he is intending to navigate through, even to those who are against his propaganda will in some way start to feel his motives.

Go OBAMA,

And incase you are wondering I'm very Liberal By choice,
B.
 
...................KHALED AL-BATSH, AN ISLAMIC JIHAD LEADER
Obama's winning the peace prize shows these prizes are political, not governed by the principles of credibility, values and morals.
Why should Obama be given a peace prize while his country owns the largest nuclear arsenal on Earth and his soldiers continue to shed innocent blood in Iraq and Afghanistan?.....................

Very good point...

watu wengine bana....inaelekea hata waliopewa (pamoja na mashabiki wao) hii prize hawaielewi kisawasawa....mpaka wanaanza kuwalaumu kamati......hizo criteria hebu mtuonyeshe nyie wajuaji mnaosema hastahili.............
 
Republicans (GOP)- Reaction

“The real question Americans are asking is, ‘What has President Obama actually accomplished?’ It is unfortunate that the president’s star power has outshined tireless advocates who have made real achievements working towards peace and human rights. One thing is certain – President Obama won’t be receiving any awards from Americans for job creation, fiscal responsibility, or backing up rhetoric with concrete action.”


My take: GOP and rightwing are joining the "Terrorists to criticize the Obama award of NPP. Only Terrorists can criticise the award.

utafikiri namuona Keith vile!!......lol.......yaani nasubiri kuona kipindi cha Keith.......
 
Mwnaahabari,
Mkuu wangu huyo Tutu alifanya nini hasa unachoweza kukiweka hapa. Hakuingia msituni wala maandamano ya mauaji hakuwepo, kazi kubwa alofanya ni kulaani Apartheid kitu ambacho wapo wengi sana mfano wake.. Steve Biko, na hata Nyerere played a big role kumshinda Tutu.. Haya tazama watu kama Arafat alifanya nini kama sii huyo huyo Arafat alikufa akiitwa Gaidi. Kina Perez wote hawa sioni walokamilisha hata moja zaidi ya mazungumzo na kuweka sahihi za amani za muda..Nambie huyo Al Gore kafanya kitu gani ikiwa hali ya mazingira leo hii ni mbaya kuliko wakati wowote ule. Hata huyo Reagan mimi sioni kitu alichokifanya cha maana kwa dunia hii..
Again Obama amekuwa na wapinzani kuliko rais yeyote...
Jana tu ati hata Bush ametunukiwa tuzo kwa misaada yake kwa nchi maskini...na hakuna mtu anayezungumzia hilo.. yaani ile miavuli tulopewa imekuwa taji la kupewa tuzo jamani!..kwa nini wasisubiri kuona matokeo ya Maleria nchi alizopeleka misaada na kuona kiwango cha vifo vya watoto kilivyoshuka!..

Mkuu ukitaka ku question kitu chochote unaweza kabisa isipokuwa wengine ni wateule machoni mwa Ubepari..Lakini wasichofahamu Obama ni mteule wa Mungu atazidi kuwashangaza wengi.
 
Mwnaahabari,
Mkuu wangu huyo Tutu alifanya nini hasa unachoweza kukiweka hapa. Hakuingia msituni wala maandamano ya mauaji hakuwepo, kazi kubwa alofanya ni kulaani Apartheid kitu ambacho wapo wengi sana mfano wake.. Steve Biko, na hata Nyerere played a big role kumshinda Tutu.. Haya tazama watu kama Arafat alifanya nini kama sii huyo huyo Arafat alikufa akiitwa Gaidi. Kina Perez wote hawa sioni walokamilisha hata moja zaidi ya mazungumzo na kuweka sahihi za amani za muda..Nambie huyo Al Gore kafanya kitu gani ikiwa hali ya mazingira leo hii ni mbaya kuliko wakati wowote ule. Hata huyo Reagan mimi sioni kitu alichokifanya cha maana kwa dunia hii..
Again Obama amekuwa na wapinzani kuliko rais yeyote...
Jana tu ati hata Bush ametunukiwa tuzo kwa misaada yake kwa nchi maskini...na hakuna mtu anayezungumzia hilo.. yaani ile miavuli tulopewa imekuwa taji la kupewa tuzo jamani!..kwa nini wasisubiri kuona matokeo ya Maleria nchi alizopeleka misaada na kuona kiwango cha vifo vya watoto kilivyoshuka!..

Mkuu ukitaka ku question kitu chochote unaweza kabisa isipokuwa wengine ni wateule machoni mwa Ubepari..Lakini wasichofahamu Obama ni mteule wa Mungu atazidi kuwashangaza wengi.

Tutu is one of the major voices waliyosaidia kuangusha apartheid..thats just a fact, kwasababu wengine walipigana kwa bunduki, wako wengi pia walipinga apartheid by non-violence....ndiyo maana alipewa heshima kubwa kuongea katika msiba wa Biko.
"In 1978, he accepted a position as general secretary of the South African Council of Churches (SACC), a 10-year-old organization with a decidedly political bent. The position gave Tutu increased media exposure, and he began to speak on talk shows around the world, pushing for economic sanctions against South Africa. In reaction, the South African government revoked his passport in 1979.

Tutu was just one of many voices in South Africa and abroad that called for sanctions, but his support for them helped legitimize what some considered a radical form of protest. The sanctions, eventually supported by much of the world, had a strong effect on South Africa. By the 1980s, the country’s economy was stagnant due to a critical shortage of investment capital, and diplomatic pressure led to the dismantling of apartheid. In 1982, Tutu’s isolation became a worldwide embarrassment for South Africa, ..."

"Tutu rather supported disinvestment, although it hit the poor hardest, for if disinvestment threw blacks out of work, Tutu argued, at least they would be suffering "with a purpose". In 1985 the U.S and the U.K (Two primary investors into South Africa) stopped any investments. As a result, disinvestment did succeed, causing the value of the Rand to plunge down more than 35 percent, and pressuring the government toward reform. Tutu pressed the advantage and organised peaceful marches which brought 30,000 people onto the streets of Cape Town. That was the turning point: within months, Nelson Mandela was freed from prison, and apartheid was beginning to crumble."


wanasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpe...he advocated non violent protests kama Nyerere alivyopigania Uhuru bila fujo...

Obama jina lake lilikuwa submited January 20, the deadline ya kusubmit majina for the prize ilikuwa February 1, 2009 which means hii achievement aliyoipata, alikuwa Rais for siku 11 tu....for Nobel Peace prize? Committee wamechemsha. kama nilivyosema , Nobel ya maana iliyobaki ni za science tu, maana wengine imewachukua zaidi ya miaka 20 for their research to be recognized...Hii ya peace prize sasa haina maana
 
In 1978, he accepted a position as general secretary of the South African Council of Churches (SACC), a 10-year-old organization with a decidedly political bent. The position gave Tutu increased media exposure, and he began to speak on talk shows around the world, pushing for economic sanctions against South Africa. In reaction, the South African government revoked his passport in 1979.
Well just a major VOICE...nipe ushahidi hata mmoja alichokifanya hata Botha akalegeza mkanda au dunia wakamsikiliza na kuchukua hatua..
Binafsi ningempa pongezi Papa Paul kwa kazi aloifanya tofauti na Tutu ambaye hakutetea watu nje ya ndugu zake..hakupiga domo kuwasaidia Zimbabwe, Palestine, Tamil, Tibet, Bosnia, Zanzibar na kadhalika iweje apokee tuzo kubwa kama hilo kwa kazi ambayo hata wewe ungekuwa Askofu huko South ungesema hivyo hivyo..For the sake ya Ubishi, Tutu hakuvuka nje ya mipaka ya nchi yake..tuzo la nini ikiwa leo mnaweza kumbeza Obama!
 
Dah hebu mchekini Boss Limbough anavyopasuka huko kwenye kipisi hiki redioni kwake leo hii. Kong'oli hapa
 
Back
Top Bottom