Obama au Bush: Mchango wa Bush kwa Watanzania haujathaminiwa ipasavyo?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,476
39,995
Wazo la Kufikirisha: Hakuna Rais wa Marekani aliyefanya mengi kwa ajili ya Bara la Afrika na kuyanusuru maisha ya Waafrika wengi kama Rais George W. Bush. Uamuzi wake wa kuongeza kwa kiasi kikubwa fedha za kupambana na maambukizi ya HIV katika Bara la Afrika unasifiwa kwa kuokoa maisha ya watu wengi ambao madawa ya ARVs yalikuwa kwao ni kama anasa na hivyo walipoambiwa wako (+Ve) basi ilikuwa ni kama hukumu ya kifo. Leo hii mamilioni ya Waafrika wanafurahia maisha na kuendelea na majukumu yao mbalimbali kwa sababu ya uamuzi wa Rais Bush kuanzisha PEPFAR. Na kwa Tanzania ni Rais Bush aliyetoa msaada mkubwa zaidi na kufanya mengi zaidi kuliko marais wengine wote waliomtangulia na hata aliyemfuatia.

Cha kushangaza ni Rais ambaye Serikali yetu na Watanzania wengi hawajaoneshi ile shukrani anayostahili kwa mchango wake huo mkubwa. Cha kushangaza zaidi hata jina la kijimtaa kimoja kwa heshima yake hakuna!

Ila kaja Rais wa Marekani mweusi; well.. you know what happened!.... yote ambayo Obama alifanyiwa simply ni kwa sababu ya rangi yake si kwa sababu ya mengi aliyoyafanya...

"Sisi tunatukuza watu bwana, hatutukuzi rangi" alisema J. K. Nyerere
 
Ewe unaejiita Mzee Mwanakijiji, wacha kupoteza watu, iwe Bush iwe Obama hakuna kati yao anaetoa fedha zake mwenyewe, ni fedha na mipango ya Serikali ya USA kwa faida ya USA.
 
Last edited by a moderator:
America they don't have a parmanent friend ever only their interests are the most important. Hakuna bush wala Bama wote ni walewale.
 
... aliyefanya mengi kwa ajili ya Bara la Afrika ...

... naam, sisi ni masikini, wanyonge, ujinga tele, you name it. Tuendelee kuwasujudu wanao'tufanyia' ..
 
Ni kweli watanzania wanafuata rangi hawaangalii mchango. Bush amefanya mengi zaidi na anaendelea kufanya. Serikali za democrats huwa zinaangalia sana matatizo ya ndani ya marekani issue za umasikini Africa tutajiju.
 
Ni kweli watanzania wanafuata rangi hawaangalii mchango. Bush amefanya mengi zaidi na anaendelea kufanya. Serikali za democrats huwa zinaangalia sana matatizo ya ndani ya marekani issue za umasikini Africa tutajiju.

Inayofanya ni Serikali ya USA kwa maslahi ya USA haijalishi ni Rais yupi afanyae. Fedha ni za walipa kodi wa USA. Kumbuka hilo.

Msianze uchonganishi na ubaguzi wa rangi kama afanyavyo mleta mada.
 
Wazo la Kufikirisha: Hakuna Rais wa Marekani aliyefanya mengi kwa ajili ya Bara la Afrika na kuyanusuru maisha ya Waafrika wengi kama Rais George W. Bush. Uamuzi wake wa kuongeza kwa kiasi kikubwa fedha za kupambana na maambukizi ya HIV katika Bara la Afrika unasifiwa kwa kuokoa maisha ya watu wengi ambao madawa ya ARVs yalikuwa kwao ni kama anasa na hivyo walipoambiwa wako (+Ve) basi ilikuwa ni kama hukumu ya kifo. Leo hii mamilioni ya Waafrika wanafurahia maisha na kuendelea na majukumu yao mbalimbali kwa sababu ya uamuzi wa Rais Bush kuanzisha PEPFAR. Na kwa Tanzania ni Rais Bush aliyetoa msaada mkubwa zaidi na kufanya mengi zaidi kuliko marais wengine wote waliomtangulia na hata aliyemfuatia.

Cha kushangaza ni Rais ambaye Serikali yetu na Watanzania wengi hawajaoneshi ile shukrani anayostahili kwa mchango wake huo mkubwa. Cha kushangaza zaidi hata jina la kijimtaa kimoja kwa heshima yake hakuna!

Ila kaja Rais wa Marekani mweusi; well.. you know what happened!.... yote ambayo Obama alifanyiwa simply ni kwa sababu ya rangi yake si kwa sababu ya mengi aliyoyafanya...

"Sisi tunatukuza watu bwana, hatutukuzi rangi" alisema J. K. Nyerere

Mkuu nakupa saluti kwa hili: Kuhusu rangi waafrica naturally ni wabaguzi wa rangi, makabila, dini, ukanda,umri ,jinsia na upuuzi mwingine...Bush is great in many areas..He was clear in hisi mind nad decisions..ndio maana alikataa vitu ambavyo Obama karuhusu na bado Akachaguliwa vipinid vyote.

Bush was great in these:
-Hakupenda unafiki au kujificha katikati(ktk grey..alikuwa ktk either black or white).
-Bush aliwahi ambiwa na Mandela kuwa ni rais mwenye akili ndogo kabisa duniani..Jamaa hakujibu ,wala kuumia kwa vile he has great heart.

-Bush alitakiwa kutosaini kifo kwa mtuhumiwa wa mauaji ,ambaye alibadilika sana gerezani n akufanya mengi makubwa ktk jamii pana nje na ndani ya gereza.Ila Bush aliuliza km kakosa na wengine walikosa na kufa,kwanini sheria ichague?Nadhani washabiki wa Zitto leo wangemsikia wangefunga mdomo.

-Bush aliwahi hojiwa kuhsu Obama ktk mapungufu ya wazi alichojibu ni hiki...."KUnaweza kuwa na rais mmoja kwa muda wowote".Nimempenda hata mkapa kwa hilo ,kajitahidi sana kutomchambua JK ingawa JK alijitahidi sana mwanzoni kumuhamishia kadhia zake.Sasa JK nae kajifunza kidogo.

-Bush alifanya dedication kabisa kwa Africa na he was very clear in his Mind kuwa anatoa msaada wa Dawa za HIV, Net, na tafiti za malaria, barabara ktk Mfuko wa MCC etc.Leo CCM wanajisifu kwa barabara bila hata admit hilo kwa heshima tuu.Wamarekani wenyewe walishangaa sana wingi za zile hela kwa nchi moja TZ.

-Bush alipotupiwa viatu kule Iraq hakuchukuliwa personal na wala hakuwahi taka sifa,na hilo alilisema mara nyingi kwa vile alijua kuwa ni kitu from his heart.

-Bush alipa wazi JK kuwa "watu wa Marekani hawatapenda sana km misaada wanayotoa kwa raia wa tanzania,raia hao waibiwe".

-Bush atabaki kiongozi mkubwa,mwaminifu na ambaye historia ndiyo itakayomsema vyema kuliko binadamu.BY the way kilicho fanya watu wengi wamchukie ksi vita km watu wanavyotaka sema.Ni hawa:

-Ukristu wake...(anaweza Yesu ndiye philosopher wake).
-Hakupenda ushoga.
-Hakupenda utoaji wa mimba.
-hakupenda ugaidi.
-Alipenda sana democrasia na kulaani ukomunist etc.
-Alikuwa na issue za uchimbaji mafuta ktk reserve za Marekani.
-Alikuwa tajiri na self made milionaire tofauti na watu walivyodhani kuwa karithi tuu kirahisi.
-Alikuwa tayari kubaguliwa kwa rangi yake kuliko yeye kubagua.
-Hakufuata mkumbo,na baba yake alikuwa best friend wake.
-Alisimama upande wa wayahudi,waingereza etc.
-Baba yake ana historia ya kubadili walinzi wake na kuleta black wengi zaidi akiwa bado ujerumanibaada ya walinzi kubaguliwa.


Ktk hayo hapo juu, angalia maadui wangapi wanaweza mfuata ktk njia zake?Angalia nguvu ya mashoga duniani,watoaji wa mimba(obama alipoingia Hela ya mshirika ya uzazi wa mpango yakaongezewa hela kuliko ,wakati TACAIDS wakatakiwa wape hela na serikali-wakaamua piga feki).Ukristu wake ukafanywa kikwazo na bahati mbaya ugaidi ulipiganwa upande mwingine wenye dini tofauti.

Kuwapenda wayahudi kulimpa shida,kutoyumba pale marekani walipopaswa weka mitambo ya ulinzi ktk nchi nyingi duniani km tahadhari y akujilinda na mabomu ya masafa toka nchi nyingine.Na mengine mengi yalitosha igeuza dunia kuwa maadui zake.
 
Ewe unaejiita Mzee Mwanakijiji, wacha kupoteza watu, iwe Bush iwe Obama hakuna kati yao anaetoa fedha zake mwenyewe, ni fedha na mipango ya Serikali ya USA kwa faida ya USA.

Haha..ila yeye ndie alikuwa akichagua vipaumbele ktk meza....sasa mbona Obama kachomoa hela ktk wagonjwa wa ukimwi na malaria..kaongeza kutoa mimba, kuelimisha ushoga, na power ya uongo wakati bado tunakula giza...?


By the way kila kitu kinatakiw akiwe na minimum requirements na faida fulani.Ulitaka wafanya kazi kwa hasara wamekuwa CCM?

hata wewe km huna mvuto na ldha wanasema wenzio...msipende tumia fikra mgando kuhukumu mambo.
 
Inayofanya ni Serikali ya USA kwa maslahi ya USA haijalishi ni Rais yupi afanyae. Fedha ni za walipa kodi wa USA. Kumbuka hilo.

Msianze uchonganishi na ubaguzi wa rangi kama afanyavyo mleta mada.

wewe utakuwa busy sana..AKILI YAKO INAANZIA N AKUISHIA KTK HIYO HIJABU LAKO.MDINI MKUWA WEWE.Kasome ramli kwa mrithi wa sheikh yahaya.

serikali ya USA wanapa wapi hiyo hel ya kuwapa muifisadi ktk CCM na udini wenu,Kapuya mdini mwenzenu akafuta km dog...alitamani sana hii nchi watu watu wake wazae km wewe,na wengine km taliban.Sasa anaanguka km panzi aliyejigonga ktk wire wa umeme.

Unafiki ni mbaya sana,utawakosesha hata nafasi ya kushukuru kwa Mungu na hata kwa binadamu ili Mungu aliyemwezesha atukuke.

Kwa Taarifa yako Obana ndie kaja kununu nchi dhidi ya wachina....Na USA walijua yeye ndiey mzuri kwa racists km waafrica..wanaojifanya victims ili wawe racists,wadini,wakabila, wakanda, wabaduguzi wa umri, wa jinsia ,wachoyo etc.
 
Mtu mmoja hapa anasema ati yote yanafanywa kwa manufaa ya Marekani. Hivi, mtu ambaye alikuwa hana matumaini ya kuishi na HIV kwa sababu ARV zilikuwa ni gharama sana leo anapata hizo bure kwa 'msaada wa watu wa Marekani" huyu kuwa hai inamsaidia vipi Mmarekani au Marekani? Hivi mamilioni ya watu wanaoishi kwa matumaini sasa hivi; umeme, elimu, na hata kusaidia ulinzi n.k inamsaidia vipi Mmarekani wakati wanaopata elimu, afya, umeme n.k ni Watanzania?
 
Mtu mmoja hapa anasema ati yote yanafanywa kwa manufaa ya Marekani. Hivi, mtu ambaye alikuwa hana matumaini ya kuishi na HIV kwa sababu ARV zilikuwa ni gharama sana leo anapata hizo bure kwa 'msaada wa watu wa Marekani" huyu kuwa hai inamsaidia vipi Mmarekani au Marekani? Hivi mamilioni ya watu wanaoishi kwa matumaini sasa hivi; umeme, elimu, na hata kusaidia ulinzi n.k inamsaidia vipi Mmarekani wakati wanaopata elimu, afya, umeme n.k ni Watanzania?

Halafu unakumbuka kuwa pia Obama ni mshindi wa tuzo ya amani ya Nobeli? Na unakumbuka alitunukiwa lini? Na aliingia madarakani lini?
 
Mkuu nakupa saluti kwa hili: Kuhusu rangi waafrica naturally ni wabaguzi wa rangi, makabila, dini, ukanda,umri ,jinsia na upuuzi mwingine...Bush is great in many areas..He was clear in hisi mind nad decisions..ndio maana alikataa vitu ambavyo Obama karuhusu na bado Akachaguliwa vipinid vyote.

Bush was great in these:
-Hakupenda unafiki au kujificha katikati(ktk grey..alikuwa ktk either black or white).
-Bush aliwahi ambiwa na Mandela kuwa ni rais mwenye akili ndogo kabisa duniani..Jamaa hakujibu ,wala kuumia kwa vile he has great heart.

-Bush alitakiwa kutosaini kifo kwa mtuhumiwa wa mauaji ,ambaye alibadilika sana gerezani n akufanya mengi makubwa ktk jamii pana nje na ndani ya gereza.Ila Bush aliuliza km kakosa na wengine walikosa na kufa,kwanini sheria ichague?Nadhani washabiki wa Zitto leo wangemsikia wangefunga mdomo.

-Bush aliwahi hojiwa kuhsu Obama ktk mapungufu ya wazi alichojibu ni hiki...."KUnaweza kuwa na rais mmoja kwa muda wowote".Nimempenda hata mkapa kwa hilo ,kajitahidi sana kutomchambua JK ingawa JK alijitahidi sana mwanzoni kumuhamishia kadhia zake.Sasa JK nae kajifunza kidogo.

-Bush alifanya dedication kabisa kwa Africa na he was very clear in his Mind kuwa anatoa msaada wa Dawa za HIV, Net, na tafiti za malaria, barabara ktk Mfuko wa MCC etc.Leo CCM wanajisifu kwa barabara bila hata admit hilo kwa heshima tuu.Wamarekani wenyewe walishangaa sana wingi za zile hela kwa nchi moja TZ.

-Bush alipotupiwa viatu kule Iraq hakuchukuliwa personal na wala hakuwahi taka sifa,na hilo alilisema mara nyingi kwa vile alijua kuwa ni kitu from his heart.

-Bush alipa wazi JK kuwa "watu wa Marekani hawatapenda sana km misaada wanayotoa kwa raia wa tanzania,raia hao waibiwe".

-Bush atabaki kiongozi mkubwa,mwaminifu na ambaye historia ndiyo itakayomsema vyema kuliko binadamu.BY the way kilicho fanya watu wengi wamchukie ksi vita km watu wanavyotaka sema.Ni hawa:

-Ukristu wake...(anaweza Yesu ndiye philosopher wake).
-Hakupenda ushoga.
-Hakupenda utoaji wa mimba.
-hakupenda ugaidi.
-Alipenda sana democrasia na kulaani ukomunist etc.
-Alikuwa na issue za uchimbaji mafuta ktk reserve za Marekani.
-Alikuwa tajiri na self made milionaire tofauti na watu walivyodhani kuwa karithi tuu kirahisi.
-Alikuwa tayari kubaguliwa kwa rangi yake kuliko yeye kubagua.
-Hakufuata mkumbo,na baba yake alikuwa best friend wake.
-Alisimama upande wa wayahudi,waingereza etc.
-Baba yake ana historia ya kubadili walinzi wake na kuleta black wengi zaidi akiwa bado ujerumanibaada ya walinzi kubaguliwa.


Ktk hayo hapo juu, angalia maadui wangapi wanaweza mfuata ktk njia zake?Angalia nguvu ya mashoga duniani,watoaji wa mimba(obama alipoingia Hela ya mshirika ya uzazi wa mpango yakaongezewa hela kuliko ,wakati TACAIDS wakatakiwa wape hela na serikali-wakaamua piga feki).Ukristu wake ukafanywa kikwazo na bahati mbaya ugaidi ulipiganwa upande mwingine wenye dini tofauti.

Kuwapenda wayahudi kulimpa shida,kutoyumba pale marekani walipopaswa weka mitambo ya ulinzi ktk nchi nyingi duniani km tahadhari y akujilinda na mabomu ya masafa toka nchi nyingine.Na mengine mengi yalitosha igeuza dunia kuwa maadui zake.

Zitto ni jiwe lililowashinda washi. Kaskazini yote makamanda mmeungana kumshambulia kwa chuki zenu za kikanda, kidini na kikabila. Ila huwa siku zote haki ya mtu haipotei hata ikiwa mission atashindwa kuikamilisha wapo kina Zito wengine watazaliwa na watapigania kuisimamisha haki na kuondoa dhulma chadema mnayofanya. Ni ishu ya muda tu.
 
Ewe unaejiita Mzee Mwanakijiji, wacha kupoteza watu, iwe Bush iwe Obama hakuna kati yao anaetoa fedha zake mwenyewe, ni fedha na mipango ya Serikali ya USA kwa faida ya USA.

Sadakta Faiza nakumbuka katika miaka ya nyuma kabisa kuna Rais Mmoja wa marekani alifika kutowa matamshi hadarani na kusema wao yaani Serekali ya Marekani haifanyi urafiki na Nchi isiyokuwa na kitu ,sidahani kama huyo anaejita mwana kijiji alikuwa amesha toka huko kwao maguguni(Makorokoroni) na kukimbilia mataifa ya magharibi
 
Mtu mmoja hapa anasema ati yote yanafanywa kwa manufaa ya Marekani. Hivi, mtu ambaye alikuwa hana matumaini ya kuishi na HIV kwa sababu ARV zilikuwa ni gharama sana leo anapata hizo bure kwa 'msaada wa watu wa Marekani" huyu kuwa hai inamsaidia vipi Mmarekani au Marekani? Hivi mamilioni ya watu wanaoishi kwa matumaini sasa hivi; umeme, elimu, na hata kusaidia ulinzi n.k inamsaidia vipi Mmarekani wakati wanaopata elimu, afya, umeme n.k ni Watanzania?

Kwanini usimuadress unamuogopa nini? Nikuulize swali rahisi kwanini huo msaada wasimpelekee muiran kama wanajali binadamu sana? Unataka kusema irani hakuna wagonjwa wa ukimwi?
 
Ukimwi wameutengeneza wenyewe, halafu Wapewe shukrani kwa kutupa dawa za kuongeza siku?.
Create a problem then offer the solution. By the way Bush ana damu za Wairak milioni moja anafaa apelekwe the Hague na afungwe kabisa, hastahili hata kupewa mkono wa salamu achilia mbali jina la mtaa.
 
Zitto ni jiwe lililowashinda washi. Kaskazini yote makamanda mmeungana kumshambulia kwa chuki zenu za kikanda, kidini na kikabila. Ila huwa siku zote haki ya mtu haipotei hata ikiwa mission atashindwa kuikamilisha wapo kina Zito wengine watazaliwa na watapigania kuisimamisha haki na kuondoa dhulma chadema mnayofanya. Ni ishu ya muda tu.

Sema na kifamilia km Zitto ambaye alikuwa anajifanya hajui yeye na mama yeke walikuwa wajumbe wa halamshauri kuu..

mmeanza tena kudai CDm inafanya dhulma..?kwa haki ipi mnayo mmedhulumiwa? Haha...kuna jamaa aliwahi sema kuna sehemu ya dunia watu wameharibiwa akili sana.Kwa kiasi hawafundishiki, na wakiachwa na waharibufu sana tena waharibisfu wenye imani kuwa uharibifu una baraka.KUwa itafikia mahali dunia itakuwa salama kuwaua kabisa km MBWA WENYE KICHAA WAFANYIWAVYO kuliko kuwaacha.Inasikitisha ila siku yaja haya yote yatabidi kufanyika.
 
Kwanini usimuadress unamuogopa nini? Nikuulize swali rahisi kwanini huo msaada wasimpelekee muiran kama wanajali binadamu sana? Unataka kusema irani hakuna wagonjwa wa ukimwi?

Km ndivyo unafikiri hivyo ni wazi huna tofauti na dog mwenye kichaa,..Iran na wengine wa kiislam si ndio wanaficha wagonjwa wa ukimwi,mateja..na hawatakiwi kuonekana hadharanai ili makfiri wasiwaone na kudhlilisha dini.Si ndio hao hata kinga ya polio wanasema kuwani dawa za kuzuia uzazi ili kuwapunguza..si ndio hao wanaua watu pakistani.

By the way wlaikuwa akiangalia mamboa mengine ktk nchi ili kupeleka hela mahali ili iwe model kwa wengine.Km ilivyokuwa ktk masuala ya mikopo yalifanyiwa majaribio maendeo ya India na pakistani ilipofanikiwa wakapeleka nchi nyingine.

Hata mobile money km Mpesa kuna models nyingi sana duniani zilizopewa hela na mataifa makubwa, zilizpofanikiwa sasa zinapelekwa sehemu nyingine.BY the way wakati wakifanya kwetu na Ivory cost pia walifanya.

Km Magamba walipoambiwa we na mpango ktk budget wakamua weka feki kuliko wawapende wenzao..hizi ndizo tabia za wabongo,wabaguzi sana, walafi, wauaji,wezi, wasio na dini ya kweli(wana dini zaidi ya moja ktk mioyo yao,wana ya hadharani na mafichoni),


Mnajifanya kufurahia obama kuwa rais,ila mkasahau kuwa siku mzungu anagombea bongo pia mshangilie.....
 
Condom nayo kwa msaada wa watu wa marekani... hata kuongea baina ya mume na mke nayo ni kwa hisani ya watu wa marekani...Hivi hizo ARV, net na Condom zina thamani kiasi gani dhidi ya dhahabu, almasi, gesi, uranium, ardhi yetu? Billion 11 zote zimeingizwa kwa mgongo wa msaada wakati ukweli zimeingia kwenye miradi ya symbion!...nani asiejua kuwa kupanda kwa bei ya umeme na kudhoofika kwa TANESCO ni sehemu ya mipango ya USA? Unataka tumfurahie bush kwa lipi?
 
Sadakta Faiza nakumbuka katika miaka ya nyuma kabisa kuna Rais Mmoja wa marekani alifika kutowa matamshi hadarani na kusema wao yaani Serekali ya Marekani haifanyi urafiki na Nchi isiyokuwa na kitu ,sidahani kama huyo anaejita mwana kijiji alikuwa amesha toka huko kwao maguguni(Makorokoroni) na kukimbilia mataifa ya magharibi

Kila raisi anasema lake na kipindi nchi yao ipo ktk maizngira gani...kipindi cha BUsh US hawakuna na cha kuchukua kwetu..na alijua reaction ya watu ni mbaya sana.Pengine alichotak ni Kituo cha kijeshi basi.Ila mlipochomoa hakujali sana.

Obama alikuja walipua waafrica,wazungu wanajua tulivyo greedy,wabaguzi waliopitiliza na kuona kuwa ubaguzi wa upande mmoja ni halali,walijua masifa yetu Obama angetosha kuja chukua mali.

Juzi tu nimeingia na mzungu rafiki yangu ktk huduma za uma..,Mtendaji wapale pamoja na kuambiwa jina alimwita yule raia wa kigeni.."Hali yako mzungu"...mzungu akakasirika na kumwambia nimekuambia jina mapema bado unaniita mzungu...ungejisikiaje mimi nikikuita "Unajisikiaje Mwafrica"...

Miswahili kw akujibaraguza likaanza endelea tete ujinga kuwa ila nyie mkiitwa wazungu ni vizuri tuu ila Mwafrica ni tusi.


Hii ndio tabia yenu wapuuzi..mnashinda mkijifanya kuwa wanawake wa kizungu hawavutii sijui nini na nini,wakati mnawawinda kwa hela zao, na mwisho wa siku mnaishia waharibia maisha yao na watoto,halafu mnajipa sifa uraiani.Hakuna anayejiuliza km likiokea kwa dada zenu mnavyoleta vurugu.
 
Back
Top Bottom