Obama anaweza kuimba!

Askari Kanzu

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
4,598
1,233
Katika usakaji wa kura Obama aonyesha vitu vikali!

Huyu jamaa hajachacha. Uraisi ukimshinda anaweza kushindana na akina Ali Choki na kuwamaliza kwa kipaji cha kuzaliwa!

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom