Obama anaambatana na George W. Bush kuja Tanzania

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,883
6,884
ee12d4424dfe3b0f110f6a706700f553.jpg

Nguvu isiyo ya kawaida ya Taifa la Marekani kuingia Tanzania inaweza kuwa na neema au kilio baadaye. Pamoja na ujio wa Rais Obama akiambatana na familia yake, George W. Bush formal president (USA) imefahamika kwamba ataambatana naye katika safari hiyo hata kama hawataongozana, ila ni safari ya wakati mmoja huku wakija kufanya kile wanachokisema KUHUTUBIA WAJIBU WA WAKE ZA MARAIS KATIKA KUINUA MAISHA YA WANANCHI.

Kabla ya hili, mke wa Kikwete Salma alipewa heshima ya kutunukiwa kitu hicho majuzi tu huko Marekani, kumbe walikuwa wanaandaa mazingira hayo.

Kwa vyo vyote kuna kitu ambacho kinawavutia wamarekani kumimika nchini zaidi ya safari ya kisiasa kama tulivyozoea kufikiria.

 
In America, there is no free lunch nor time to waste. They are pursuing something big.
 
Cha Mjinga chaliwa na Mwelevu.


Sasa kama sisi mikataba Serikali inafanya
siri ndiyo maana tunaibiwa kila siku jamani.
Rais wa China kaja Serikali ikasema kuwa
mikataba itawekwa hadharani mpaka kesho.
 
Marekani imeshika kama 30% ya uchumi wa dunia hivyo wakija bora waje tu hakuna njia nyingine ya kuondokana na umasikini
 
Wacha waje si tumewatafuta wenyewe kwa kwenda kuombaomba misaada, ukitaka kula kubali na wewe uliwe.
Kwani unafikiri wao wanapenda hasara? Kama tunaifurahia misaada wanayotupa, basi tukubali na sisi kuliwa japo kidogo.
Huu ni ukoloni wa kisasa, ambao unakwenda mwenyewe kumbembeleza mkoloni hakutawale (uwekezaji) alafu anakusinisha mkataba wa miaka 99.
Tujiandae kurudi kwenye utumwa, ambao utakuwa ni mbaya kuliko ule wa mwanzo.
 
Am fed up to hear these kinds of say. They are after our resources; Tumegundua gas yenye ujazo mkubwa sana, sasa kwanini wasije? Tunagawa mbuga zetu kwa warabu na wachina kwanini nao wasije? Wamekuja kuulizia " The blue diamond city/Kigamboni" yao kama serikali ishawatoa wazawa pale ili waanze kujenga mji wao.
This is Tanzania bhana, lazima kieleweke 2015
 
liberalization ina madhara sana, Tena ni mfumo kandamizi na wenye ubabe mwingi, kosa halikufanyika jana wala juzi, kauli ya nang'atuka ya Hayati baba wa Taifa ilikuwa imelenga kuukimbia unyama huu, Heshima kwa mwalim, rest in peace mzee, watanzania tumetawaliwa tena, hatuna chetu hata kimoja, kila alichotubariki nacho mungu kinawindwa kwa biddi na wenye nguvu, tumebaki ombaomba duniani! Tuliambwa Tunaletewa maisha bora kwa kila mtanzania....... walipopata tu wakaongeza neno lingine.... ikawa... maisha bora kwa kila mtanzania yanawezekana, kila mtu atimize wajibu wake, tumebaki hatuna la kufanya!
 
Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe na si wageni wala wawekezaji kutoka nje..
 
Eti Bush na mkewe wanakuja kuwafunza wake za marais ujasiriamali. So mlisema n rais ni kipenzi cha watu wa magharibi? Waache waje tugawane kilichopo na wao watupe net za mbu.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
ee12d4424dfe3b0f110f6a706700f553.jpg

Nguvu isiyo ya kawaida ya Taifa la Marekani kuingia Tanzania inaweza kuwa na neema au kilio baadaye. Pamoja na ujio wa Rais Obama akiambatana na familia yake, George W. Bush formal president (USA) imefahamika kwamba ataambatana naye katika safari hiyo hata kama hawataongozana, ila ni safari ya wakati mmoja huku wakija kufanya kile wanachokisema KUHUTUBIA WAJIBU WA WAKE ZA MARAIS KATIKA KUINUA MAISHA YA WANANCHI.

Kabla ya hili, mke wa Kikwete Salma alipewa heshima ya kutunukiwa kitu hicho majuzi tu huko Marekani, kumbe walikuwa wanaandaa mazingira hayo.

Kwa vyo vyote kuna kitu ambacho kinawavutia wamarekani kumimika nchini zaidi ya safari ya kisiasa kama tulivyozoea kufikiria.


Kama wanataka tunegotiate tuwe state yao mpya! Sio unyonyaji wanataka kuufanya kwa kuwa tu tuna viongozi dhaifu!
 
ee12d4424dfe3b0f110f6a706700f553.jpg

Nguvu isiyo ya kawaida ya Taifa la Marekani kuingia Tanzania inaweza kuwa na neema au kilio baadaye. Pamoja na ujio wa Rais Obama akiambatana na familia yake, George W. Bush formal president (USA) imefahamika kwamba ataambatana naye katika safari hiyo hata kama hawataongozana, ila ni safari ya wakati mmoja huku wakija kufanya kile wanachokisema KUHUTUBIA WAJIBU WA WAKE ZA MARAIS KATIKA KUINUA MAISHA YA WANANCHI.

Kabla ya hili, mke wa Kikwete Salma alipewa heshima ya kutunukiwa kitu hicho majuzi tu huko Marekani, kumbe walikuwa wanaandaa mazingira hayo.

Kwa vyo vyote kuna kitu ambacho kinawavutia wamarekani kumimika nchini zaidi ya safari ya kisiasa kama tulivyozoea kufikiria.


Toka lini BEPARI akampenda maskini? Hawa wana interest zao za kiuchumi zaidi. Rasilimali zetu ndizo zinawaleta na kwa style yetu ya kuwalamba miguu MABEPARI watakomba hizi rasillimali kama watakavyo!
 
nikimwona shetani bush napatwa hasira ya ajabu hivi we shetani unataka nini hapa kwetu
 
Hata sina sababu ya kusikitika leo,maana yawezekana jamaa alishatuuza siku nyingi' mtu
kila kukicha yuko kwenye nchi zao tunategemea nini kama si kuuzwa'acha waje wakabidhiwe mali yao'
 
Back
Top Bottom