Supervisor
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 559
- 207
Obama ameaanza na kulaani jinsi jeshi la police nchini Tunisia lilivyotumia nguvu hadi kusababisha umwagaji damu kwa raia wasio kuwa na hatika maandamano ya amani. Mi kwangu naona pia anajiandaa kulaani ya majuha yetu Tz.