mi hata hainijsumbui.all in all naona kuwa ni mzazi anayejali mwanae na kufanya efort ya kumlea mwenyewe bila kuhusisha ma-baby sitters kama wanavyofanya wenzetu au kupeleka watoto katika vituo vya kulelea watoto..........
Nothing surprises me - it is a reflection of a loving poor African parent - like many millions across the continent and beyond. The only hitch is that he may have missed that love from his own father, but otherwise it is all fine...
Hizi ni jitihada za wale walioshindwa kumzuia kuwa rais kumshushia heshima na utu wake. Hii siyo kitu. Rais Jimmy Carter naye alichorwa na kukejeliwa sana. Lakini mimi nafikiri Jimmy Carter ni mmoja wa marais wa Marekani aliyekuwa na utu na bado anao mpaka leo. Wabaguzi wa kabatini (closet) ni wa kupuuzwa tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.