technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,842
Obama alituaminisha kuwa Clinton ni thaifu mwaka 2008 .
Kweli hata atupashwi kuwalaumu wakina Mbowe na wenzie waliomponda vikali Lowassa uko nyuma lakini sasa hivi wako naye wanafanya naye kila jambo siasa ni unafiki duniani kote .
Mtu yupo tayari kusema Chochote ili tu apate wafuasi wa kumuunga mkono .
Obama alimshambulia sana Hillary Clinton mwaka 2008 lakini sasa hivi anafunika na blanket ili aonekane msafi .
Hillary alimshambulia Obama sasa hivi anaonekana ndiye wa kumbeba kwenda ikulu ya Marekani.
Trump alimshambulia Obama kwa ubaguzi sasa hivi anayakana maneno yake na kusema alikuwa akitumwa na Hillary Clinton.
Lengo ni moja tu kuusaka urais hivi ikulu uwa kuna nini?
View attachment 408292
Kweli hata atupashwi kuwalaumu wakina Mbowe na wenzie waliomponda vikali Lowassa uko nyuma lakini sasa hivi wako naye wanafanya naye kila jambo siasa ni unafiki duniani kote .
Mtu yupo tayari kusema Chochote ili tu apate wafuasi wa kumuunga mkono .
Obama alimshambulia sana Hillary Clinton mwaka 2008 lakini sasa hivi anafunika na blanket ili aonekane msafi .
Hillary alimshambulia Obama sasa hivi anaonekana ndiye wa kumbeba kwenda ikulu ya Marekani.
Trump alimshambulia Obama kwa ubaguzi sasa hivi anayakana maneno yake na kusema alikuwa akitumwa na Hillary Clinton.
Lengo ni moja tu kuusaka urais hivi ikulu uwa kuna nini?
View attachment 408292