Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Rais wa Marekani Barack Obama amekubali kwamba alifanya kosa kuhusu uteuzi wa baraza lake la mawaziri .
Wawili kati ya wanasiasa aliowateua kutoka chama chake cha Democratic, walitiliwa mashaka kuhusu uaminifu wao binafsi katika ulipaji kodi.
Hatimaye Wanasiasa hao wawili; Seneta Tom na Bibi Nancy, waliamua kukataa kupokea nyadhifa walizopewa kutokana na tuhuma za kutokuwa waaminifu katika ulipaji kodi zinazowahusu wao binafsi.
Tunajifunza nini kwa nchi zetu za Afrika?
Wawili kati ya wanasiasa aliowateua kutoka chama chake cha Democratic, walitiliwa mashaka kuhusu uaminifu wao binafsi katika ulipaji kodi.
Hatimaye Wanasiasa hao wawili; Seneta Tom na Bibi Nancy, waliamua kukataa kupokea nyadhifa walizopewa kutokana na tuhuma za kutokuwa waaminifu katika ulipaji kodi zinazowahusu wao binafsi.
Tunajifunza nini kwa nchi zetu za Afrika?