Anasoma alama za nyakati!
Sababu iliyofanya Osama asikamatwe akiwa hai ni hiyohiyo inayolazimu picha zisionyeshwe!
Unawajua al-qaeda wewe?
huo ndio ukwel hawa jamaa wa alqaemda wana hasira zinazoongezeka kila dakika nadhani wakiona hzo picha ni vita isiyokwisha!Sasa akizionyesha
Vita vikazidi vya wafuasi wake kuua watu kila mahala yaani kila nchi as msisahau kuwa walibomu embassy yao ya TZ mtafanyaje? Mtasemaje?
Watachukua picha hizo na kuziabudu na kufanya madhara embu
Acheni azuie wengine tunataka bado kuishi
huo ndio ukwel hawa jamaa wa alqaemda wana hasira zinazoongezeka kila dakika nadhani wakiona hzo picha ni vita isiyokwisha!