Hili tukio limezua utata mkubwa USA kwani pia kuna shaka kuwa kama sio planned attack from inside kwa nini waziri wa ulinzi alituma kikosi cha ziada cha uokoaji kule New York siku moja kabla ya tukio? na wadadisi wa mambo wanaenda mbali sana kwa kulihusisha tukio hili na dini ya Freemason, ambayo siku 9/11 kwa dini hii uhusishwa na utoaji sadaka ya damu kwa MUngu wao Lucifer! na mbaya zaidi Bush anasadikiwa kuwa ni mfuasi wa dini hii! Na kwanini Ndege mbili na zigonge WTC well, inasemekana tukio hili lilipangwa miaka 11 kabla ya tukio na waliamua kutumia utabiri wa zamani uliosema kuwa " Nawaona ndege wawili wa chuma wakigonga minara miwili katika nchi iliyoinuka na kuwa taifa kubwa na tajiri" ndio sababu ya kutumia ndege mbili na kugonga WTC. waliamua kutumia vijana wa kiarabu ili kulink na al queda na kuficha ukweli wa uhusika wao! Pamoja na dhana hii lakini swali kubwa linabaki pale pale " hata kama Bush ni katili na muuaji ( kama tunavyoshuhudia kule Irak) lakini is he capable of killing his own brother and sisters just for the sake of stupid blood sacrifice?
Kwani Kibwetere alifanya nini kwa waumini wenzie wakiwemo ndugu zake humo ndani? Usifanye mchezo na imani eti wanaenda peponi wakajichoma moto wote kisa wapate kwenda peponi. Inawezekana na Bush akafanya hilo anyway time will tell.