Obama aingiza Jeshi mtaani dhidi ya raia wa USA!

Sheria za mkoloni zinapiga kazi hadi leo wahusika wameshindwa kujiongeza? Kujiongeza ni kubuni mifumo mipya sio kutumia ya watu. Huwezi kukifanya kifaa hicho unachotumia kuandika jf kiitwe gari, waliokiasisi walikipa jina lake ili uweze kukitofautisha na gari. Usitoke nje ya point.
Kwahiyo hoja yako ni nini sasa maana sijakuelewa???. kwamba police haiwezi kuwa jeshi kwa maana ya tafsiri ya neno jeshi au sababu ipi??

Na nimekuuliza unalijua lengo la taifa lolote kufanya hivyo au ni bahati mbaya?????
 
Kiuhalisia unapotamka neno jeshi maana yake ni jeshi kama lilivyo. Ukisikia jeshi la Marekani limelipua mabomu Syria hakuna swali kuhoji ni jeshi la mgambo au jeshi gani, itajulikana ni US ARMY Marekani kuna mgambo wanaitwa mgambo(militia), wana polisi wanaoitwa polisi sio jeshi la polisi kwa sababu kiuhalisia polisi sio jeshi.
Mbona hapa Tanzania wanaita jeshi la police .national guard is different Na us army
 
Kwahiyo hoja yako ni nini sasa maana sijakuelewa???. kwamba police haiwezi kuwa jeshi kwa maana ya tafsiri ya neno jeshi au sababu ipi??

Na nimekuuliza unalijua lengo la taifa lolote kufanya hivyo au ni bahati mbaya?????
Tafsiri misamiati ya 'jeshi' na 'vita' kwa kiingereza. Kama umeshindwa usi-quote post yangu.
 
Tafsiri misamiati ya 'jeshi' na 'vita' kwa kiingereza. Kama umeshindwa usi-quote post yangu.
Acha upimbi mbona mwoga.maswali yanakuzidi kimo nini???

Nitaku quote mpaka utakapoelewa unachobisha ni kitu gani.

Unataka ulazimishe polisi ya kitanzania iwe kama police ya marekani sababu wote wanaitwa polisi.

Tz tuna jeshi la polisi kwa mujibu wa katiba yetu.nimekuuliza unadhani iliwekwa bahati mbaya au ni kwa kutokuelewa, hujibu badala yake unarukaruka tu.na kuendelea kuleta hisia na mitazamo.
 
Acha upimbi mbona mwoga.maswali yanakuzidi kimo nini???

Nitaku quote mpaka utakapoelewa unachobisha ni kitu gani.

Unataka ulazimishe polisi ya kitanzania iwe kama police ya marekani sababu wote wanaitwa polisi.

Tz tuna jeshi la polisi kwa mujibu wa katiba yetu.nimekuuliza unadhani iliwekwa bahati mbaya au ni kwa kutokuelewa, hujibu badala yake unarukaruka tu.na kuendelea kuleta hisia na mitazamo.
Polisi ni nini?
 
Kifaa cha kuzuia uharifu.
Kwahiyo hao mgambo wa Marekani ni polisi? Au unataka kusema kampuni binafsi za watu zinazopewa kazi ya kulinda maduka, baa na mashule dhidi ya waharifu nao waitwe polisi kwa sababu ni vifaa vinavyozuia uhalifu?
 
Hap
Hivi wewe unaakili kweli!!?

Napoteza muda aisee!!
Unaelewa maneno haya
All members of the National Guard of the United States are also members of the militia of the United States!!?

All members-
Are Also-
Hapa mkuu unapoteza tu muda. I suggest you ignore the person
 
Aiseee ngoja nimtafute Rasi Simba anipige msasa hata kwa bluetooth maana naona Viwavi wa Lumumba wanataka kutupotosha tusiojua kirengesa
 
Reserve US military force hata hiyo pia unataka kubisha? Armed forces maana yake nini?
Kwani Polisi anaposhika lile SMG hapa bongo hayupo Armed ? Kwamba kwa sababu ni Polisi basi SMG inageuka Lollypop ?
 
Nakushauri usikurupuke kubishia usiye yaelewa .

Nakuacha NA upofu wako
Ila usome hii kitu

militia /mᵻˈlɪʃə/[1] generally is an army or other fighting unit that is composed of non-professional fighters, citizens of a nation or subjects of a state or government who can be called upon to enter a combat situation, as opposed to a professional force of regular, full-time military personnel, or historically, members of the warrior nobility class (e.g., knights or samurai).

Unable to hold their own against properly trained and equipped professional forces, it is common for militias to engage in guerrilla warfare or defense instead of being used in open attacks and offensive actions.

Kwaheri
We mbona ni mgambo hao
 
Raia wa USA walizoea kuangalia tu kwenye TV jinsi Jeshi lao linavyosurubu raia wa nchi nyingine oversees, sasa kama wenyewe wasemavyo chickens coming home to roost, baada ya raia wa USA aliyetokea kuwa na rangi nyeusi kama mimi na mwenye asili ya kwetu Afrika kupigwa risasi kwa mara nyingine tena na Askari wa USA ambao kwa kawaida wanapaswa kumlinda, Raia wa USA wameingia barabarani kupinga, Polisi wa USA wamezidiwa na sasa Jeshi la USA (National Guard) limeagizwa kufanya kazi ya kusurutisha raia wa USA!

National Guard of the United States - Wikipedia, the free encyclopedia

Gavana wa Jimbo la North Carolina Patt Mccrorry, ameagiza Jeshi kuingia barabarani!
2,w=993,q=high,c=0.bild.jpg




84118100_lay-600x416.jpg

Polisi wamezidiwa nguvu!
3,w=993,q=high,c=0.bild.jpg



Wizi na uharibifu wa mali unaofanywa na waandamanaji raia wa USA hao!
2,w=993,q=high,c=0.bild.jpg
The scenario is just starting to unfold, and the worst is still to come. Decades of planning by the "Elite"is now bearing fruit. Pretty sad for the poor Americans. Their country has been tsken hostage!
 
Back
Top Bottom