<br />Kicheche ndo mdudu gani?
<br />
vultures na si unajua kazi yake ni kula mizoga
<br />Kicheche ndo mdudu gani?
Pia anauzoefu wa kutosha, akipata uhuru (free chance) ya dk 5 tu kashagongwa (sio na gari)<br />
<br />
kama alivosema kichwa ngumu, siku tu unatoka nae out, jiandae kwa kusikia kila mtu akimnyooshea kidole hasa mabwana zake waliopitia enzi hizo.
<br />On other side kama alishazoea kuhudumia "nanihii" kumi kwa siku,<br />
Yako moja itakua ni kumtania tu.<br />
Jasiri haachi asili
<br />Pia anauzoefu wa kutosha, akipata uhuru (free chance) ya dk 5 tu kashagongwa (sio na gari)
<br />lakini Historia huwa inajirudia
<br />Nakubaliana na wewe!
<br />Kwa lipi? kicheche kuwa na dira ya ndoa? Lete mamchango yako hapa..<br /><br />
<br />
<br /><br /><br />
<br /><br />
kwani hana utu?<br />
Wengine wanafanya kwa sababu ya dhiki bhana.
jipe moyo!...1. Akiamua kutulia ameamua
2. Hana aibu za ajabuajabu
3. Bikra yeye atataka kuonja kidogo nje, kicheche hatahisi kama kuna kipya
4. Ana uzoefu wa kutongozwa kwa style nyingi, hataona jipya kutoka kwa mtongozaji mgeni
5. Anajua koni zote, hataona tamaa
6. Mara nyingi wakiamua kupenda wanapenda kweli
7.
8.
9.
10.
<br />Sidhani..dhiki ndo auze mwili wake? Kwa nini asiuze nyanya,kuni, ponde kokoto nk..hapo lipo tatizo tena kubwa zaidi ya hiyo dhiki.. <br /><br />
<br />
<br />Kunguru hafugiki braza
<br />raha ya kicheche ni kwamba, anapenda sana hayo mambo, so wakati wowote ukitaka hata mara tano kwa siku yeye yupi tayari...kwa wanaume tunaopenda game kama mimi, kicheche safi....kila siku nakamua nipendavyo...
Du, nilikuwa siyajua haya. Haya sasa, seriously, natafuta kicheche1. Akiamua kutulia ameamua
2. Hana aibu za ajabuajabu
3. Bikra yeye atataka kuonja kidogo nje, kicheche hatahisi kama kuna kipya
4. Ana uzoefu wa kutongozwa kwa style nyingi, hataona jipya kutoka kwa mtongozaji mgeni
5. Anajua koni zote, hataona tamaa
6. Mara nyingi wakiamua kupenda wanapenda kweli
7.
8.
9.
10.