Oa kicheche!! Hizi ni raha zake!

<br />
<br />
kama alivosema kichwa ngumu, siku tu unatoka nae out, jiandae kwa kusikia kila mtu akimnyooshea kidole hasa mabwana zake waliopitia enzi hizo.
Pia anauzoefu wa kutosha, akipata uhuru (free chance) ya dk 5 tu kashagongwa (sio na gari)
 
On other side kama alishazoea kuhudumia &quot;nanihii&quot; kumi kwa siku,<br />
Yako moja itakua ni kumtania tu.<br />
Jasiri haachi asili
<br />
<br />
unatakiwa kuwa rijali, manake hata huyu bikra atakapoanza kutest nje siku nyingine atachapwa na wawili, wanne, nane, 16 mwisho wa siku sugu. Hapo ngoma droo.
 
lakini Historia huwa inajirudia
<br />
<br />
kwa nini ijirudi? Kama mwanamke alikuwa kicheche manake hata mwanaume sio mwema, atakuwa alikutana nae posta, shivaz etc so ukijifanya kurewind mkanda hata yeye anakukumbusha.
 
Inavyoonekana kijana,unataka kupoteza watu humu ndani,kuoa kicheche! Labda mtaani kwako kusiwe na majembe?
 
Sidhani..dhiki ndo auze mwili wake? Kwa nini asiuze nyanya,kuni, ponde kokoto nk..hapo lipo tatizo tena kubwa zaidi ya hiyo dhiki..
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
kwani hana utu?<br />
Wengine wanafanya kwa sababu ya dhiki bhana.
<br />
<br />
 
1. Akiamua kutulia ameamua
2. Hana aibu za ajabuajabu
3. Bikra yeye atataka kuonja kidogo nje, kicheche hatahisi kama kuna kipya
4. Ana uzoefu wa kutongozwa kwa style nyingi, hataona jipya kutoka kwa mtongozaji mgeni
5. Anajua koni zote, hataona tamaa
6. Mara nyingi wakiamua kupenda wanapenda kweli
7.
8.
9.
10.
jipe moyo!...
 
Sidhani..dhiki ndo auze mwili wake? Kwa nini asiuze nyanya,kuni, ponde kokoto nk..hapo lipo tatizo tena kubwa zaidi ya hiyo dhiki.. &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
Ushasikia wanapenda kazi ngumu?
Kazi ya kuchafuka?
 
raha ya kicheche ni kwamba, anapenda sana hayo mambo, so wakati wowote ukitaka hata mara tano kwa siku yeye yupi tayari...kwa wanaume tunaopenda game kama mimi, kicheche safi....kila siku nakamua nipendavyo...
 
raha ya kicheche ni kwamba, anapenda sana hayo mambo, so wakati wowote ukitaka hata mara tano kwa siku yeye yupi tayari...kwa wanaume tunaopenda game kama mimi, kicheche safi....kila siku nakamua nipendavyo...
<br />
<br />
Eheee! Tuko pamoja.
 
1. Akiamua kutulia ameamua
2. Hana aibu za ajabuajabu
3. Bikra yeye atataka kuonja kidogo nje, kicheche hatahisi kama kuna kipya
4. Ana uzoefu wa kutongozwa kwa style nyingi, hataona jipya kutoka kwa mtongozaji mgeni
5. Anajua koni zote, hataona tamaa
6. Mara nyingi wakiamua kupenda wanapenda kweli
7.
8.
9.
10.
Du, nilikuwa siyajua haya. Haya sasa, seriously, natafuta kicheche
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom