<br />Kunguru hafugiki!
<br />Kicheche tena umuweke ndani, we fb unawatakia heri ndugu zako?
<br />raha yake akianza kukuacha ndani ndio utajuta
<br />Ukitoka nae out, kubali kuonana na waume wenzako kama mia hivi kwa robo saa
<br />elezea na hasara ili watu akiamua kujitosa wazijue kabisa
<br />Sasa kicheche asiporidhika itakuwaje?maana yeye ni kama daladala halichagui abiria wafupi au warefu,wembamba au wapole so utafanyaje?
<br />Unajua kuna lugha nyingine zinatumika kuwadharau mama zenu, dada etc. Ebu niambia kama dadako ni CD, dada poa, kicheche how do you feell? Hivi huyo mtarajiwa wako "name called" ukiwa nae kama mke utamuitaje? former changudoa kicheche? Mdomo huumba jamani fikirieni kwa kina hayo majina mnayotubandika. Ulishawahi kukaa chini ukafikirie kwa nini watu wanakuwa CD, vicheche? Nahisi ni historia ndefu sana, mpaka dada yako awe ndiyo utapata uchungu wa kujua hao manaowaita hivyo si nia yao kufanya hayo.<br />
<br />
Omba Mungu wako akupe kile unachostahili kwa hili lazima upate kicheche asiyefugika hata kwa AK 47!ol
<br />mpka kaamua kutulia jiulize kulikoni lazima kuna tatizo hapo,atakurestisha in peace wewe.
<br />Fb unakoelekea nina wasi wasi nako. Unapotea moja kwa moja
<br /><br /><br />
<br /> na kupoteza wengine pia
1. Akiamua kutulia ameamua
2. Hana aibu za ajabuajabu
3. Bikra yeye atataka kuonja kidogo nje, kicheche hatahisi kama kuna kipya
4. Ana uzoefu wa kutongozwa kwa style nyingi, hataona jipya kutoka kwa mtongozaji mgeni
5. Anajua koni zote, hataona tamaa
6. Mara nyingi wakiamua kupenda wanapenda kweli
7.
8.
9.
10.