King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,656
- 68,602
Akichezesha taya na mwananchi wa kawaida(castro dickson) wa claus tv,oten aliweka wazi biashara inayomuweka mjini kwa sasa tofauti na muziki.
Nawasilisha.
Nawasilisha.
bora huyo kuliko mtoto wa kiume anayetegemea pesa ya boom kuuza sura na akinyimwa anaandamana na kugoma
Wanajijua
Bora huyo kuliko mtoto wa kiume anayauza sura kwa mali za shemeji yake yaani dada yake anashurubishwa yeye anaenjoy then anajiita mtoto wa kiume wanajijua
nawasilisha
Sasa wewe kinachokushangaza nini unawezakuta anapata maslahi zaid ya bongo fleva acha dharau kazi za watu izo
watafanyaje wakati raia wana ban nyimbo zao vibandani
Kazi ni kazi ili mradi mkono unaenda kinywani, (kazi yako nzuri mimi hainisaidiii)
I smell pussy,oh i got it wrong,i smell a hater!
o-ten namsifu kwa kusoma alama za nyakati,music industry sasa hivi imekaa kizushi,bora yeye alieamua kuhamia kwny kuuza kiepe,ila namshauri atengeze mazagazaga adimu ili awashinde hao wapemba,wife wangu hunileteaga chips za wapemba hapo mwenge,ni tam balaa.
Don hizo chipsi za Wapemba wa Mwenge zipo sehemu gani? Maana wife anapenda sana chpsi zenye madiko diko ya kufa mu. Utakuwa umeniokoa sana. Nipe eneo nikawatembelee.