CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
Mwanamke hatakiwi kua na nywele sehemu yoyote zaidi ya kichwani.
hee mbna me nimesuka tatu kichwa kule kunako? kha. . kila mtu anacho anachokipenda!
Mwanamke hatakiwi kua na nywele sehemu yoyote zaidi ya kichwani.
hee mbna me nimesuka tatu kichwa kule kunako? kha. . kila mtu anacho anachokipenda!
hata zikiwa nchi 20 kama ni safi haina shida
Inchi tano unaielewa kweli? Hizo ni sentimita 12.5...unasuka mkia bila ya wasi wasi wowote
huo ni ubaguzi wa kijinsia nao wana haki zao za kuwa na nywele ndefu kwenye makwapa na kadhalika
hee mbna me nimesuka tatu kichwa kule kunako? kha. . kila mtu anacho anachokipenda!
Mwanamke hatakiwi kua na nywele sehemu yoyote zaidi ya kichwani.
Inchi tano unaielewa kweli? Hizo ni sentimita 12.5...unasuka mkia bila ya wasi wasi wowote
Aaaahhh i hope unatania charmin lady jamani kule inabidi kue kusafi kumenyolewa kunapendeza na hiyo ni kwa wote men and women
Inchi tano unaielewa kweli? Hizo ni sentimita 12.5...unasuka mkia bila ya wasi wasi wowote
Hii style mbona ni ya kitambo 2, karibu mtaani kwetu ujionee.
Hata mimi naona uchafu tu. Awe me au ke kufuga nywele sehemu ambayo hewa haizunguki ni uchafu. Huyo ungemsogelea angekuwa ananuka kikwapa na hili joto. Hata kama ana prerfume inakuwa na harufu ya kipekee; perfume+Jasho.