UKI
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 691
- 172
tunashuriwa tuwasikilize wazazi wetu na kamwe tusiwadharau eti kwa sababu wamepitwa na wakati kaa chini wakupe sababu zao kwanini wamemkataa mhaya kila mtu anasababu zake yawezekana wanasababu ya msingi kuliko kuanza kulalamika sawa siku hizi kila mtu ana uhuru wa kuchagua anavyotaka ila usije ukasema bora ningewasikiliza wazazi kwanza ukaja ukajuta. ushauri kaa na wazazi wako wakupe ushauri na kamwe usifanye mambo kibabe hakika utajajuta ingawa hatuombei hayo,