Du,live bila chengaSio fani yake afunge, au auze management. ye akaimbe. ndo alivyozoea
Huko umefika mbali mkuu, labda hajaamua!kweli anajitahidi, lakini angefanyea bidii akafika kwa babu tuone kama ataweza angalau kusikia "kichefuchefu"
Hayo matatizo hayana tiba, ndio madhara ya kutoa mimba nyingi walipokuwa secondary school, halafu by the way nadhani anakaribia kufikisha miaka 50, so swala la kupata mimba ni next to impossible.
wewe na mwenzio ni wapuuz, umekuwa Mungu wewe? wacha kuongea ujinga, utakutawala maisha yako, mada iliyoko mezan ni kuhusu msosi, get back 2topic wewe
List for us ya JF ni yepi?What has that to do with JF. Peleka malalamiko yako kwake.
Jaydee,if you are reading this......malalamiko ni mengi juu ya restaulant yako.Muda mwengine yanaweza tu uwa kasumba zetu watanzania kukandia chochote cha mwenzetu na muda mwengine huu ndio ukweli,sasa comment/posts nyingi ni malalamiko anza reflect on the side that ..."you have a long way to go" start making ammendements watu wanakuja hapo na ndio wateja usiruhusu waande wasirudi,...make them come back....
Nakupa ushauri,...."nenda pale ALBASHA the REBANESE restaulant iba wale wahudumu wawili yule mnene mfupi na yule mwembamba mrefu maji ya kunde hao jamaa ni wazuri mno,yaani hao jamaa ndio sababu ya mimi kuwapo hapo kila siku asubui kwa ajiri ya kifungua kinywa.
Ukiweza iba hata yule manager dada wa kihindi,ila usibadiri watu wako wa jikoni maana msosi wako ni mzuri na juice imeenda shule
Hayo matatizo hayana tiba, ndio madhara ya kutoa mimba nyingi walipokuwa secondary school, halafu by the way nadhani anakaribia kufikisha miaka 50, so swala la kupata mimba ni next to impossible.