MARILYN
Member
- Feb 23, 2011
- 96
- 15
NI nyumba mbili ziko kwenye plot moja kubwa, zimetenganishwa na fensi, kila moja ina eneo kubwa kwaajili ya parking, kila nyumba ina master bed room moja, vyumba vingine vitatu vya kulala, jiko, sitting room na dinning room kubwa, ziko sinza kumekucha kARIBU NA FINE TRAVELLERS HOTEL, eneo ni kubwa na liafaa hata kwa biashara kama kujenga hotel