Inawezekana kuna kuna kuna watu nitawakwaza ....labda !lakini mtanisamehe !
Miezi miwili iliyopita nilbahatika kuwa mkoani Kagera kwa shughuli za kikazi .Nilibahatika kutembelea wilaya zote 8!
Kuna jambo kubwa lilinishangaza kuwa nyumba nyingi za wageni zina matandiko (magodoro}ya liyofunikwa mpira ya plasitiki ,kama ile ya kuzuia mkojo kwa watoto.mwanzoni nilidhani mwenye nyumba ameamua kutunza magodoro yake yasiharibike mapema.
lAKINI nilishtushwa zaidi nilipoenda gesti na lodge nyingine nikakuta wao wanatandika kiapnde cha mpira kuilinda godoro!Sikuvutiwa nalo nikamwomba mhudumu alitoe kabla hajatoa nilimwuomba aniambie mpira huo ni wanini...alicheka sana na kuondoka !
Nililazimika kuwa mdadisi zaidi na kulazimisha urafiki na mlinzi wa lodge ile na kumhoji alichoniambia ndio kilichonisukuma niwasilshe hoja hii hapa wadau wanipe shule!Yule babu aliniambia kuwa ndugu zetu wa huku wana kamchezo wa wakubwa ambao huwafanya watoe maji mengi mithili ya bomba .......hivyo inawalazimu wamiliki wa nyumba hizi kuchukua tahadhari kuyalinda magodoro yao .Niliamua kutoendelea na uatafiti huo niliiamini kuna jukwaa letu ambali kuna majibu ya uhakika!...
Sasa wadau nisaidiane ...je ni kweli kuhusu haya maelezo?......inakuwaje mchezo huu uwepo Kagera tu! ....Je kuna sababu yoyote ya Kisayansi ....bayolojia au jiografia inayosababisha hali hii
Naomba niweke wazi kuwa hali hii niliona Bukoba ..lodge 3,Muleba ...gesti 2,Biharamulo 1,NGARA 0,karagwe 2,KWERWA 2,mISENYI 2 ,nshamba 1,Kamachumu 1,
Nyumba /gesti nilizokuwa nalala ni za kati ya Tsh 15,000-25,000/=
Naomba kuwasilisha
Miezi miwili iliyopita nilbahatika kuwa mkoani Kagera kwa shughuli za kikazi .Nilibahatika kutembelea wilaya zote 8!
Kuna jambo kubwa lilinishangaza kuwa nyumba nyingi za wageni zina matandiko (magodoro}ya liyofunikwa mpira ya plasitiki ,kama ile ya kuzuia mkojo kwa watoto.mwanzoni nilidhani mwenye nyumba ameamua kutunza magodoro yake yasiharibike mapema.
lAKINI nilishtushwa zaidi nilipoenda gesti na lodge nyingine nikakuta wao wanatandika kiapnde cha mpira kuilinda godoro!Sikuvutiwa nalo nikamwomba mhudumu alitoe kabla hajatoa nilimwuomba aniambie mpira huo ni wanini...alicheka sana na kuondoka !
Nililazimika kuwa mdadisi zaidi na kulazimisha urafiki na mlinzi wa lodge ile na kumhoji alichoniambia ndio kilichonisukuma niwasilshe hoja hii hapa wadau wanipe shule!Yule babu aliniambia kuwa ndugu zetu wa huku wana kamchezo wa wakubwa ambao huwafanya watoe maji mengi mithili ya bomba .......hivyo inawalazimu wamiliki wa nyumba hizi kuchukua tahadhari kuyalinda magodoro yao .Niliamua kutoendelea na uatafiti huo niliiamini kuna jukwaa letu ambali kuna majibu ya uhakika!...
Sasa wadau nisaidiane ...je ni kweli kuhusu haya maelezo?......inakuwaje mchezo huu uwepo Kagera tu! ....Je kuna sababu yoyote ya Kisayansi ....bayolojia au jiografia inayosababisha hali hii
Naomba niweke wazi kuwa hali hii niliona Bukoba ..lodge 3,Muleba ...gesti 2,Biharamulo 1,NGARA 0,karagwe 2,KWERWA 2,mISENYI 2 ,nshamba 1,Kamachumu 1,
Nyumba /gesti nilizokuwa nalala ni za kati ya Tsh 15,000-25,000/=
Naomba kuwasilisha