Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Katika pita pita yangu huko Kili vijijini nimefurahishwa na jambo moja. Nyumba zilizopo zinazidi hata za miji mingi kwa ubora . Halafu hakuna tembe hata moja kama zile za Dodoma , Singida n.k Watu wanaishi kama vile wako town bana . Krismas bado lakini ni shangwe tupu. Nilikutana na DALA DALA jipya limeandikwa CITY TRANS, kumbe limekodishwa kuleta watu kwao toka Dar badala ya kung'ngania mabasi japo yako mengi tuu na ya ukweli . Halafu ni wapinzani kwa kwenda mbele . Jamaa wako juu mazee . Kizuri acha kisifiwe bana ..
Kweli nimefurahishwa. Hongereni watani zangu .WHAT THE .
Kweli nimefurahishwa. Hongereni watani zangu .WHAT THE .