Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,458
- 29,151
Wadau,
Nimekua nikisoma kwenye magazeti mbalimbali pamoja na kusikiliza redioni kua Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) linatarajia kuuza nyumba zake zilizoko mchikichini, ilala, Dsm.
Niseme ukweli tu haya matangazo hua siyasomagi wala kuyasikiliza kiundani zaidi bali hua najitahidi ku-base kwenye details muhimu kama bei, ukubwa, eneo nk.
Sasa nimefikiria nijaribu kwenda kuziona hizo nyumba ili nijiridhishe kua hiyo hela nitakayotoa (Tshs 168Mil + Vat) inawiana na nyumba yenyewe kadiri ya nitakavyoiona na kuitathminisha mwenyewe.
Tatizo Jana nimezunguka sana Ilala kuzitafuta hizo nyumba na nisizipate.
Kwa kua nimepanga kuitumia wikiend hii kwa ajili ya shughuli hiyo tu, mnaweza kunisaidia mahali zilizo hizi nyumba??
Ningejua tu japo hata mtaa ingenisaidia sana kwa kweli.
Ntashukuru sana kwa msaada wenu
Nimekua nikisoma kwenye magazeti mbalimbali pamoja na kusikiliza redioni kua Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) linatarajia kuuza nyumba zake zilizoko mchikichini, ilala, Dsm.
Niseme ukweli tu haya matangazo hua siyasomagi wala kuyasikiliza kiundani zaidi bali hua najitahidi ku-base kwenye details muhimu kama bei, ukubwa, eneo nk.
Sasa nimefikiria nijaribu kwenda kuziona hizo nyumba ili nijiridhishe kua hiyo hela nitakayotoa (Tshs 168Mil + Vat) inawiana na nyumba yenyewe kadiri ya nitakavyoiona na kuitathminisha mwenyewe.
Tatizo Jana nimezunguka sana Ilala kuzitafuta hizo nyumba na nisizipate.
Kwa kua nimepanga kuitumia wikiend hii kwa ajili ya shughuli hiyo tu, mnaweza kunisaidia mahali zilizo hizi nyumba??
Ningejua tu japo hata mtaa ingenisaidia sana kwa kweli.
Ntashukuru sana kwa msaada wenu