Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Wanandugu waishio tankibovu na pembezoni,
Kama hujafika nyumban jitahdi ununue ma buti ya plastic kama yanapatikana.
Huku karibu kila nyumba maji yameingia ndani ukipata bahati ndio unaweza kuingia lakini wengi wametoa magodoro na kwenda nyumba wanazojua kusitiri maisha yao.
Hakika ni mvua ambayo atkuwahi kujua yaweza kufikia kiasi hiki
Ukishuka Tanki bovu kuingia Barabara ya BILLS LODGE kila nyumba pembezoni zinatoa maji kuna ambazo walikuwa ndan wanasubiri usiku kuzoa maji ...kuna ambao waliamua kukodisha water pump na sasa ukipita sehemu hizo ni makelele utasema mitambo ya DOWANS pale UBUNGO kumbe ni water pump zinatoa maji.
Bado najiuliza ni miundombinu ama ni nini kinafanya nyumba zote hizi kuingia maji
Tunawaomba wenye uwezo wa kukodisha water pump wafike TANKI BOVU HARAKA KUOKOA watu waweze kuingia nyumbani kwao kwa amani!
Kama hujafika nyumban jitahdi ununue ma buti ya plastic kama yanapatikana.
Huku karibu kila nyumba maji yameingia ndani ukipata bahati ndio unaweza kuingia lakini wengi wametoa magodoro na kwenda nyumba wanazojua kusitiri maisha yao.
Hakika ni mvua ambayo atkuwahi kujua yaweza kufikia kiasi hiki
Ukishuka Tanki bovu kuingia Barabara ya BILLS LODGE kila nyumba pembezoni zinatoa maji kuna ambazo walikuwa ndan wanasubiri usiku kuzoa maji ...kuna ambao waliamua kukodisha water pump na sasa ukipita sehemu hizo ni makelele utasema mitambo ya DOWANS pale UBUNGO kumbe ni water pump zinatoa maji.
Bado najiuliza ni miundombinu ama ni nini kinafanya nyumba zote hizi kuingia maji
Tunawaomba wenye uwezo wa kukodisha water pump wafike TANKI BOVU HARAKA KUOKOA watu waweze kuingia nyumbani kwao kwa amani!