wengine wanachemsha mpaka mawe, ilimradi tu vichemke.wengine wameweka masufuria ushahidi,ila wanapiga desh
MadameX kwa nini utiliwe sumu kama unaishi na wenzako vizuri? Mie hapo naona tatizo ni hayo majiko kuwa karibu karibu kiasi hicho. Najiuliza tu wamama wanakaaje hapo kupika?Mmmh mimi naona hatari ya kutiliana sumu ni zaidi kuliko kuibiwa mboga...