fafanua tafadhali, vyumba viwili na baraza (bed rooms, I guess,) including sebule separate, stoo, jiko, bafu ? Ukubwa wa kiwanja? this is important informationKwa maelezo zaidi wasiliana na muhusika anaitwa spora no. Yake ya simu ni 0652 131653
bei yake ni tshs. Million 15
fafanua tafadhali, vyumba viwili na baraza (bed rooms, I guess,) including sebule separate, stoo, jiko, bafu ? Ukubwa wa kiwanja? this is important information
fafanua tafadhali, vyumba viwili na baraza (bed rooms, i guess,) including sebule separate, stoo, jiko, bafu ? Ukubwa wa kiwanja? This is important information
nimeongea na mwenyewe sasa hivi:
Urefu = square meter 21
upana = square meter 10
asante
nimeongea na mwenyewe sasa hivi:
Urefu = square meter 21
upana = square meter 10
asante
Siku hizi vipimo vya urefu na upana ni square meter? Du!!!!
Vymba viwili hivyo ni vya kulala bed rooms. Na kuna bafu la kuogea na choo na nimesema sitting room moja. Hakuna store room
Ninaomba unipe muda ukubwa wa kiwanja nitakupatia baadaye maana sina hakika ila ninakumbuka kama aliniambia urefu ni square meter 21 na upana 13, sina hakika nitakupa baadaye kidogo
Ninadhani umeelewa sasa
Siku hizi vipimo vya urefu na upana ni square meter? Du!!!!
Nahisi alitaka kumaanisha Meter, kwa kifupi 21*10 hicho kiwanja ni square meter 210, kwa mtu anayejua vema viwanja hiki ni kiwanja kidogo sana
noted with thanks, ngoja tutafakari. inafaa
Asante sana wewe huna maneno ya mabaya kama wengine wangenisemea mbovusamahani tunasahihishana, huwezi kupima length in square units- ulimaanisha urefu/upana in meters not square meters! OK. asante rafiki
nimeongea na mwenyewe sasa hivi:
Urefu = square meter 21
upana = square meter 10
asante
Kwa maelezo zaidi wasiliana na muhusika anaitwa spora no. Yake ya simu ni 0652 131653
bei yake ni tshs. Million 15