Nimeona mahali fulani watu wanalalamika,eti nyumba ya sanaa(Nyerere cultural centre) inavunjwa.ni ile iliyo makutano ya Ohio na Mwinyi road inavunjwa,hivi kuna mwenye hizi habari?Kama ni kweli,nani kauza hiki kituo cha sanaa zetu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.