Nyumba ya mama Maria Nyerere

acha umbeya! hayakuhusu, we una uhakika gani kama mkeo/mumeo hajawahi kukuwekea sumu, jenga nchi yako, tafuta pesa, achana na maisha ya watu waliyowin maisha kabla hujazaliwa! non sense!
Sijasikia hii habari ya Nyerere kuwekewa sumu.
Lakini kuna matatizo mengi katika chakula;kumpata mtu responsible akutayarishie chakula. Mtu anaweza kukuletea chakula kizuri,kwenye sahani chafu.
 
acha umbeya! hayakuhusu, we una uhakika gani kama mkeo/mumeo hajawahi kukuwekea sumu, jenga nchi yako, tafuta pesa, achana na maisha ya watu waliyowin maisha kabla hujazaliwa! non sense!
Umbeya manake nini?? Kama unajua hayo yote, hapa unatafuta nini?? Kwanin hujabak kimya ili upate muda zaid wa kutafuta pesa na kufanya mambo mengine..?? Huo ndo unaitwa unafik..!!
 


hahaha! calm down son! calm down JF inawatu wenye akili za kushotokushoto .." Nyerere worshipers " wachukulie easy ! ..


Yap kweli kabisa, huyu Chalii akili zake ni za kushoto na zimepindapinda, ndo mana sikutaka kuendelea nae tena, alinikera sana..!! Thanx Njiwa.
 
Kwa kifupi huyu mama ni mchafu tu, mara nying mazingira ya home kwake huo ovyo ovyo..!! Naamin serikali inampa pesa kila mwez kama ilivyowah kusikika mwanzon, ila kwasababu ya uchafu wake ndo mana tunaona madudu hapo kwake, usafi kama huo hauhitaji pesa.. Tusiilaumu serikali, alaumiwe yee mwenyewe...!!
... nadhani itakuwa busara kama tukikumbuka umri wa huyu mama wakati tunatoa maoni.
 
Tatilzo ni kwamba kila kitu chetu ni siasa, binafsi sikuona haja ya hii kitu kufanyiwa coverage hiyo ki habari. Wanajeshi wangeweza kufanya hivyo kwa jinsi wanavyolichukulia suala hili la usafi nyumbani kwa muasisi wa taifa lakini haikuwa na haja ya kuifanya habari hivyo.
Hii inaonyesha kwamba kuna malengo tofauti na nia nzuri iliyoonyeshwa na wanajeshi wetu.
 
Back
Top Bottom