Ninayo INA FLOOR moja price dola 1200
wenye pesa jengeni nyumba mpangishie watu, si unaona wanavyoteseka?
ila mjenge nyumba za standard sio vyoo vya kuchunguliana!!
Budget ni 200 - 250K.
Iwe na vyumba 2 vya kulala (preferably in a gated compound).
Himawari-maeneo uliyotaja sina connections labda nikuulizie hapo karibu kwa maretu on your left...:eek2:Mkuu Mtanga Tc, nami natafuta nyumba maeneo ni Ngulelo, Kwa Mrefu, Shangarai na Tengeru. Nyumba ya vyumba 2-3/sebule/jiko/ choo bafu/fensi.., zinaweza kuwa mbili kwa pamoja. Pia isiwe mbali sana na main road (Ms-Ar). Pango 150K - 200K. Ni-Pm kama unaweza nisaidia ila sio udalali!
Duh, Sombetini mbali sana, na hiyo Jam!!kuna apartments zipo sombetini karibu na shule ya Imani.....zitakufaa coz bei imelenga budget yako.....
Sio mwanafunzi bana, Sakina maeneo gani??ninavyo dabo mbili eneo la sakina lakini kama ni mwanafunzi hapana!
Tuma tuu mkuu... Utatuma na bus ipi??mi ninayp kama hiyo ! ila iko dar! vipi nikutumie kwenye bus?
Duh, Sombetini mbali sana, na hiyo Jam!!
Sio mwanafunzi bana, Sakina maeneo gani??
Tuma tuu mkuu... Utatuma na bus ipi??