Nyumba ya kisasa inapangishwa kimara

Kireka1980

JF-Expert Member
Mar 18, 2008
302
43
Nyumba ina vyumba vinne ikiwemo master (chumba kimoja kikubwa kimefungwa taa maalumu za kusomea), sitting na dinning jiko na store yake, public toilet, full tiles (jikoni na vyoo full hadi kuta), AC master na sitting ipo ndani ya fence in banda la mbwa, kisima cha ku-drill (depth 100 metres) ina eneo la wazi ndani ya fence (20 square metres). Bei ni USD700 kwa mwezi kama upo interested ni-pm at vantde2000@hotmail.com
 
Pelekea mafisadi, mie askari magereza nitazitolea wapi hizo USD700? hata JK alisema yupo radhi kuukosa usaisi kwa Tshs 350000 sembuse na hiyo je?
 
Nyumba ina vyumba vinne ikiwemo master (chumba kimoja kikubwa kimefungwa taa maalumu za kusomea), sitting na dinning jiko na store yake, public toilet, full tiles (jikoni na vyoo full hadi kuta), AC master na sitting ipo ndani ya fence in banda la mbwa, kisima cha ku-drill (depth 100 metres) ina eneo la wazi ndani ya fence (20 square metres). Bei ni USD700 kwa mwezi kama upo interested ni-pm at vantde2000@hotmail.com

Mkuu hizi taa maalumu za kusomea ndio zipi? Unamaana zimefungwa karibu na kitanda au mezani au ni bulb maalumu za kusomea? Nifungue macho!!
 
Mkuu hizi taa maalumu za kusomea ndio zipi? Unamaana zimefungwa karibu na kitanda au mezani au ni bulb maalumu za kusomea? Nifungue macho!!
ah jamani kweli watu mnaniacha hoi yaani nimecheka hizo taa maalum za kusomea!mie hoi,eti dola mia saba bongo kuna wazimu hivi mshahara wa nurse,mwalimu na wengineo kweli utapanga nyumba dola mia saba utazitoa wapi?si ndio mambo ya kupalilia wizi na ufisadi jamani!!!!
 
ah jamani kweli watu mnaniacha hoi yaani nimecheka hizo taa maalum za kusomea!mie hoi,eti dola mia saba bongo kuna wazimu hivi mshahara wa nurse,mwalimu na wengineo kweli utapanga nyumba dola mia saba utazitoa wapi?si ndio mambo ya kupalilia wizi na ufisadi jamani!!!!

kwani ni walimu/manesi pekee ndio wapangaji??
 
free market inapotumiwa vibaya, ina maana hizo ni milioni moja kwa mwezi kwa ajili ya nyumba pekee,ambayo inatakiwa isizidi 20% ya mshahara ,mh ok wakurugenzi wapo wengi atakula nao
 
Nyumba ina vyumba vinne ikiwemo master (chumba kimoja kikubwa kimefungwa taa maalumu za kusomea), sitting na dinning jiko na store yake, public toilet, full tiles (jikoni na vyoo full hadi kuta), AC master na sitting ipo ndani ya fence in banda la mbwa, kisima cha ku-drill (depth 100 metres) ina eneo la wazi ndani ya fence (20 square metres). Bei ni USD700 kwa mwezi kama upo interested ni-pm at vantde2000@hotmail.com

Mkuu Kireka,

Kwanini Kodi inakuwa quoted in terms of dollars? Kuna sababu za msingi za kufanya hivyo? Kwa exchange rate ya sasa hivi ya dollar kodi ya nyumba hiyo ni Tshs. 1,046,500 are you serious kwamba mnapangisha hiyo nyumba? Yaani Kimara na matatizo ya eneo hilo tunayoyajua mtapata mpangaji kweli? Nina wasiwasi mwenye nyumba hiyo hayuko serious au inawezekana madalali wameweka cha juu na hivyo uenda wakasababisha nyumba hiyo ikose wapangaji.

Hebu tuwe realistic jamani!!! Hiyo bei kwa Kimara ni too much!!!!

Tiba
 
Ukubwa wa nyumba na details ulizotoa nyumba inastahili laki 5 kwa sababu ya location-Kimara.Nyumba ya namna hiyo some parts of Mikocheni, Msasani,Upanga,SeaView na town centre ungepata Im per month.Location ni muhimu sana tunapojenga nyumba kwa ajili ya kukodisha.Kuna rafiki yangu kajenga nyumba nzuri ya 3bedrooms Buza lakini imebidi akubali laki 1 kwa mwezi baada ya kukosa wapangaji kwa muda mrefu kwa bei aliotaka yeye.Pole sana lakini ndio ukweli wenyewe.
 
Tatizo hapa ni madalali ambao wanawadanganya landlords kiasi cha pesa ya kupangisha, huyu jamaa unaweza kukuta hajawai hata kugusa Midola (Mi-USD).

Hili Tatizo sijui litaisha lini.............yaani watanzania tumepoteza imani na pesa yetu kabisa...........hadi inafikia watu wanajisikia sijui niite kinyaa/aibu ku-quote kwa madafu yetu
 
Nyumba ina vyumba vinne ikiwemo master (chumba kimoja kikubwa kimefungwa taa maalumu za kusomea), sitting na dinning jiko na store yake, public toilet, full tiles (jikoni na vyoo full hadi kuta), AC master na sitting ipo ndani ya fence in banda la mbwa, kisima cha ku-drill (depth 100 metres) ina eneo la wazi ndani ya fence (20 square metres). Bei ni USD700 kwa mwezi kama upo interested ni-pm at vantde2000@hotmail.com

Kwa Kimara itakuwa ngumu
 
ahsante kwa ushirikiano wadau, nyumba imepata mpangaji imechukuliwa na watu wa kanisa moja though bei ilipungua kidogo (1m).
thanks na tuendelee kushirikiana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom