House4Sale Nyumba ya Kisasa Chanika

mslopagaz

JF-Expert Member
Jul 31, 2014
367
36
Nyumba ina vyumba vtatu (1master&2single with public toilet),sitting room kubwa, dinning, (fens&parking area),umeme unawaka ipo barabara ya mtaa kutoka stand ya daladala n mita 700 contact 0656 698232
b4cc1188b793fabe1220eab6a8aa7f02.jpg
1c01a1039ab2ba171ac8124bcaaf2884.jpg
6aad377177f980addb8e9a2c2b04367f.jpg
e5df295958de177de205ea4cad0f010a.jpg
b115c901684757d798aece4a5dd5f686.jpg
44187e28ff148b72a49765a96168fa6d.jpg
61daa6cc60c569c2a7517fab291c60ab.jpg
1a088816df58a69cd8607f177f56cb4c.jpg
632b0382be1af84c3ec5f4a2aece05ad.jpg
308d0899bf1201525d9049ca25e6a0ac.jpg
 
Nyumba imejengwa kisasa ina vyumba vwil(1 master kubwa&single) sitting room kubwa,Jiko dinning,store ina vyumba vtatu vya nje,ina fens kubwa kiwanja kina ukubwa wa sqmita 856
hii nyumba ipo kweny ujenz wa mwsho hapo ilipo 90ml ikimaliziwa n 115mil
0655 698232
e9961dfcf188e83e506445cfa66cfb38.jpg
59497d9d5d5af102f6fd07c4b181689d.jpg
91ef208cd27fca00a435d7be79cccf8a.jpg
9da196da07b5fd36caa61b07232a4687.jpg
075e183b34a0c9008dee4d3f360e729f.jpg
13f19984cc662b432270f8ad80c0cbfe.jpg
c5bca8df3fcf324a4901186f821e2c29.jpg
 
Nyumba ina vyumba vtatu vya kulala ukubwa ft12×10 (1master&2single),sitting room, dinning room,Jiko, store public toilet,fens & parking area uwanja 28m/34m,umeme unawaka, nyumba ipo barabara ya mtaa so unaeza ongeza frem kutafta rizik zaid 0656 698232 kuna nafas ya mazungumzo kwa muhtaj wa kwel
cf2420d797d0ec9383e2bc39b9eb43d9.jpg
67b3cee45c5bf918478abc6e401eb249.jpg
77f63a37b00e38cbc889cadae933723b.jpg
841808fcbf272200b5805ba30326e133.jpg
a0d4b59c00eeb033e0a582ba47b81381.jpg
1e3eeef61ad7b5523e2407d8ff9fab7c.jpg
27e9c9560e8f99fe6d0907cdbce246f3.jpg
b936d1dc10e3580adda794bf63cf31b6.jpg
e67c80d997cdefcb6a8047cdae438385.jpg
4ae8a6b9f185d749eecad5dc8495f000.jpg
 
Chanika Kuna nini ,,,,,,,!!!! .mbona kila siku mnauza nyumba.
Mkuu mm ndo naztangaza biashara nyng za chanika mitandaon ukienda Kupatana.com zoo com,Jf smtym kweny gazet la majira natangazaga so hii nyumba naitangaza wik ya pil kwa sasa sio mpya humu jukwaan halafu angalia comment zangu kuna Mkuu aliniulza swal kama lako nlimpa ufafanuz akaelewa so kama umeipenda nyumba njoo tukae mezan upewe documents na biashara ifanyke kisheria Mkuu
 
Nyumba ina vyumba vtatu vya kulala ukubwa ft12×10 (1master&2single),sitting room, dinning room,Jiko, store public toilet,fens & parking area uwanja 28m/34m,umeme unawaka, nyumba ipo barabara ya mtaa so unaeza ongeza frem kutafta rizik zaid 0656 698232 kuna nafas ya mazungumzo kwa muhtaj wa kwel
cf2420d797d0ec9383e2bc39b9eb43d9.jpg
67b3cee45c5bf918478abc6e401eb249.jpg
77f63a37b00e38cbc889cadae933723b.jpg
841808fcbf272200b5805ba30326e133.jpg
a0d4b59c00eeb033e0a582ba47b81381.jpg
1e3eeef61ad7b5523e2407d8ff9fab7c.jpg
27e9c9560e8f99fe6d0907cdbce246f3.jpg
b936d1dc10e3580adda794bf63cf31b6.jpg
e67c80d997cdefcb6a8047cdae438385.jpg
4ae8a6b9f185d749eecad5dc8495f000.jpg
Futi 10×12 hiyo nyumba au choo, maana ft 10 ni mita 3.3 na 12 ni mita 4. Thibitisha vipimo.
 
Mkuu tafta mtaalam akupimie chumba chako uniambie upana wake na uref fut ngap then uje jukwaan unipe majib
Mkuu tangazo lako lina utata, maana umeandika "nyumba ina vyumba vitatu vya kulala ukubwa ft 12x10" moja kwa moja mtu atajua ukubwa wa nyumba hiyo. Maswali ya mimi kutokuwa na kiwanja au kutojua bei ya tofali wa si hoja rekebisha tangazo lisiwe na utata.
 
Mkuu tangazo lako lina utata, maana umeandika "nyumba ina vyumba vitatu vya kulala ukubwa ft 12x10" moja kwa moja mtu atajua ukubwa wa nyumba hiyo. Maswali ya mimi kutokuwa na kiwanja au kutojua bei ya tofali wa si hoja rekebisha tangazo lisiwe na utata.
Mkuu mm nlkua namaansha ukubwa wa vyumba sio nymba hayo mambo mengne mkuu naona wanajukwaa walkua wanatoa challenge tu mkuu
 
Huo mnara wa voda hauna madhara kwa wakaaji?je umo kwenye plot na tozo watakuwa wanatoa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom