Nyumba ya Dr. Dau yavamiwa; vitu vyaibwa, vingine vyarudishwa kiana

Inawezekana hizo documents zilikuwa kwenye mojawapo wa hizo safe mbili zilizo ibiwa, kwa hiyo majambazi walibeba wakajue mbele kwa mbele.
 
you seem to know a lot kuhusu majambazi na ujambazi!..

Suffice it to say I have my ear to the ground, I know everything that goes around.

Wabongo inabidi tujue jinsi ya ku communicate.Huyu Dau alikuwa hahitaji hata kudisclose publicly amount iliyochukuliwa, na polisi wasingeweza ku disclose hiyo info, sasa kashawatangazia wazee wa kazi kwamba anaweka milioni tano nyumbani, next thing you know watam time kwenye gari.

If at all huu ni ujambazi, maana ina sound kama kuna deals gone awry na espionage/ revenge zaidi ya ujambazi.Jambazi gani anakuja kukurudishia bunduki, lakini anakimbia na vyeti?
 
Mimi sikujua kuwa Tambaza ni shule ya Kiislamu. Nilisoma pale enzi hizo ikiitwa Aga Khan. Sikujua imebadilishwa kuwa shule ya Kiislamu.
Hoja murua kabisa hii. Inatakiwa Napster, WomanofSubtance na Chuma waje waitolee maelezo. Angeyasema hayo Kinondoni Moslem hakuna ambaye angeshtuka lakini Tambaza!1???:frown:
 
Labda CIA wanaoperate Tanzania!Watu wanavamia na sio wawili ni kikundi cha watu!
Wanachukua documents!!!!!
It is inside job?Au tunavugwa tu.

It is incredible katika nchi hii yetu ya kusadikika
 
Washindwe na walegee kwani Tanzania ni watu wote bila kujali wasiokuwa na dini. Mambo ya dini yanatakiwa kuwa binafsi zaidi kuliko kuchukua sura ya nchi. Mungu aliye hai asiruhusu jambo hili kutokea.
 
“Polisi tunafanya msako mkali msione vitu vinarudi tu, ni matokeo ya msako wetu na tunawaambia majambazi hao warudishe kila kitu walichochukua kabla hatujawakamata na vielelezo hivyo,” alitoa amri.

Sometime hata mambo serious unajikuta unacheka na kutabasamu tu. Hii statment ya kova imenichekesha sana. nadahni hata yeye mwenyewe kova atakuwa anacheka akiona alichokisema
 
Bahati mbaya kwamba imeshakuwa issue ya dini tayari mimi hilo silipendi sana kulijadili kwa sababu kwenye masuala ya imani watu wengi busara na hekima huwaacha na kwenda na jazba zinazoshabihiana na imani zao.

Nikirudi kwenye mada nashindwa kuamini na hata kuelewa ilikuwaje nyumba isiyo na mkaazi au wakaazi ikawa na pesa ndani au ulikuwa ni mpango wa kuanzisha benki? Vinginevyo huyu ni mtumishi wa umma halafu pia ni msomi hivyo kuhusika kwake na matukio kama haya unatia shaka, kwa sababu 1.yeye akiwa kama mtunza mafao yetu halafu hazingatii taratibu za utunzaji fedha usalama wa pesa zetu ni mashaka matupu huko NSSF. 2.kama tungekuwa na vyombo na uongozi makini hili sio suala dogo la kufumbia macho na mwisho wa siku kuchukuliwa kama udaku. Ina paswa kuchunguzwa na kujiridhisha source ya pesa hizi ila kwa maoni yangu bila kujali pesa ni za nani huyu bwana anapaswa kuwajibishwa kama kiongozi kwa kutozingatia taratibu za utunzaji wa pesa.
Mwisho: mazingira ya pesa kupatikana katika nyumba wasioishi watu ni lazima zitakuwa na walakini hivyo kuna kazi makini inatakiwa ifanyike hapa.
 
Jambazi gani anaiba vyeti vya shule na hati za kuasafiria? Mheshimiwa anatuambia jambazi katafuta kitu cha kuchukua akaona hati za kusafiria na vyeti ?

Kuna kitu hakielezwi vizuri hapa.

Mara ya kwanza alipotoa taarifa ya kuibiwa alisema kuwa kiasi kikubwa cha fedha kiliibiwa!! Sasa watu wanapohoji uhalali wa pesa nyingi kuwekwa nyumbani badala ya kuziweka benki kama ni pesa halali na CEO wa NSSF na pia msomi; jamaa ndio anakuja na hadithi kuwa zilikuwa milioni nne tu!! Huyu jamaa anaficha kitu, ni fisadi anayetumia dini yake kupata watu wa kumlinda dhidi ya madhambi yake!!
 
1. Hivi baada ya kutokea wizi waliondoa walinzi wote kwenye nyumba hiyo?
2. Je hao waliorudisha silaha mbona hawakukamatwa wakati nafikiri walinzi waliokuwepo wangetakiwa kuwa makini zaidi baada ya kutokea uhalifu?
3. Hapa kutakuwa na mchezo wa kuigiza kama vile urudishaji wa pesa za EPA
 
Bahati mbaya kwamba imeshakuwa issue ya dini tayari mimi hilo silipendi sana kulijadili kwa sababu kwenye masuala ya imani watu wengi busara na hekima huwaacha na kwenda na jazba zinazoshabihiana na imani zao.

Nikirudi kwenye mada nashindwa kuamini na hata kuelewa ilikuwaje nyumba isiyo na mkaazi au wakaazi ikawa na pesa ndani au ulikuwa ni mpango wa kuanzisha benki? Vinginevyo huyu ni mtumishi wa umma halafu pia ni msomi hivyo kuhusika kwake na matukio kama haya unatia shaka, kwa sababu 1.yeye akiwa kama mtunza mafao yetu halafu hazingatii taratibu za utunzaji fedha usalama wa pesa zetu ni mashaka matupu huko NSSF. 2.kama tungekuwa na vyombo na uongozi makini hili sio suala dogo la kufumbia macho na mwisho wa siku kuchukuliwa kama udaku. Ina paswa kuchunguzwa na kujiridhisha source ya pesa hizi ila kwa maoni yangu bila kujali pesa ni za nani huyu bwana anapaswa kuwajibishwa kama kiongozi kwa kutozingatia taratibu za utunzaji wa pesa.
Mwisho: mazingira ya pesa kupatikana katika nyumba wasioishi watu ni lazima zitakuwa na walakini hivyo kuna kazi makini inatakiwa ifanyike hapa.

Mara ya kwanza alipotoa taarifa ya kuibiwa alisema kuwa kiasi kikubwa cha fedha kiliibiwa!! Sasa watu wanapohoji uhalali wa pesa nyingi kuwekwa nyumbani badala ya kuziweka benki kama ni pesa halali na CEO wa NSSF na pia msomi; jamaa ndio anakuja na hadithi kuwa zilikuwa milioni nne tu!! Huyu jamaa anaficha kitu, ni fisadi anayetumia dini yake kupata watu wa kumlinda dhidi ya madhambi yake!!

Mimi kweli nashangaa what all this fuss is about. Labda kwa vile mnazungumzia fedha za Kitanzania ndio maana watu wanashtuka kusikia milioni 4 au 5. Fedha hizo zilizoibiwa kwa Dr. Dau ni sawa na US$ 2,900.- au sawa na Euro 2,100. Sasa jamani mtu kama Dau kuwa na Euro 2,000 basi imekuwa ni nongwa. Jee angekuwa na vijisenti ingekuwaje?

Bwana Bulesi naona bado anaendeleza udini licha ya watu wengi wenye busara hapa jamvini kukemea jambo hilo. Haifai....Bado natoa pole kwa Dr. Dau na Mungu amuepushe na majamga mengine kama haya. Fortunately documents nyingi zilizoibiwa ni replacable.
 
Kama wameiba safe mbili na ndio zilikua na hizo fedha na nyaraka mbali mbali... ni kawaida, naturally the burglars would not know the combination to the to safes and thus would need to beba them mazima mazima... Ndio maana document nazo zimeibiwa.. Watu humu mara walete hoja zikidini, mara kwanini anaweka hela nyumbani.. Totally unnecessary..
 
Suffice it to say I have my ear to the ground, I know everything that goes around.

Wabongo inabidi tujue jinsi ya ku communicate.Huyu Dau alikuwa hahitaji hata kudiscloe publicly amount iliyochukuliwa, na polisi wasingeweza ku disclose hiyo info, sasa kashawatangazia wazee wa kazi kwamba anaweka milioni tano nyumbani, next thing you know watam time kwenye gari.

If at all huu ni ujambazi, maana ina sound kama kuna deals gone awry na espionage/ revenge zaidi ya ujambazi.Jambazi gani anakuja kukurudishia bunduki, lakini anakimbia na vyeti?

Brilliant! excellent! did find out this by yourself? case closed! super detective!... I wonder why they dont hire you to do the job. Come you should work for interpol or something!

unajua tatizo letu watanzania? kila mtu anajua kila tu! "Everybody is everything"
 
Brilliant! excellent! did find out this by yourself? case closed! super detective!... I wonder why they dont hire you to do the job. Come you should work for interpol or something!

unajua tatizo letu watanzania? kila mtu anajua kila tu! "Everybody is everything"

And Napster know everything that everybody does not know.

Unaanguka kwenye mtego huo huo unaonitia hatiani. Wewe ulikaa na Watanzania wangapi ukafanya research gani kuona kwamba Watanzania wanajua kila kitu.

Usi ji expose mazee.
 
Mimi sikujua kuwa Tambaza ni shule ya Kiislamu. Nilisoma pale enzi hizo ikiitwa Aga Khan. Sikujua imebadilishwa kuwa shule ya Kiislamu.

Jasusi,

Isome vizuri tena hiyo habari, haisemi kwamba Tambaza ni shule ya Kiislamu. Sherehe hiyo kufanyika hapo Tambaza haina maana na shule imegeuka ya Kiislamu.

Watanzania na mambo ya dini hamjambo. Kinachonishangaza, kama tunafuata sana dini, mbona majambazi wa mali na malighafi ya umma wamezidi kuwa wengi?

Pole kwa wote waliopatwa na mkasa huu.
 
Isije ikawa ndo sehemu ya kutokomeza zile nyaraka za biashara za kidhalimu na mikataba ya kilaghai aliyoiingiza NSSF kwenye manunuzi ya quality plaza na godown za ubungo. Manaana kunatetesi mtaani kwamba bado ile saga inafanyiwa kazi.

Ila naimani kutakua na backup ofisini so vilivyo ibiwa vitakua vijuli tuu... maana kama kila mkurugenzi akihamishia nyaraka za ofisi nyumbani.......... itakua kaazi kweli kweli.
 
Nafikiri jamaa waliona kukamatwa na silaha ya wizi tena ya kibosile ingekuwa soo, wakaamua kuirudisha.....

Hapana...Dau aliona amekosea statement na kuwa bastola haikuibwa...hivo akaitupa nje na kuwaita Polisi na kudai imerudishwa
 
Hoja murua kabisa hii. Inatakiwa Napster, WomanofSubtance na Chuma waje waitolee maelezo. Angeyasema hayo Kinondoni Moslem hakuna ambaye angeshtuka lakini Tambaza!1???:frown:
....Nafikiri nyinyi ni miongoni mwa wale wanaofeli mitihani ya "UFAHAMU" ...!!!..Sijui ni nani amewaroga!!!

Hayo maneno yangekuwa mabaya, hata Kinondoni Islamic yasingefaa...!!! lkn bado maneno yametulia.
 
Mara ya kwanza alipotoa taarifa ya kuibiwa alisema kuwa kiasi kikubwa cha fedha kiliibiwa!! Sasa watu wanapohoji uhalali wa pesa nyingi kuwekwa nyumbani badala ya kuziweka benki kama ni pesa halali na CEO wa NSSF na pia msomi; jamaa ndio anakuja na hadithi kuwa zilikuwa milioni nne tu!! Huyu jamaa anaficha kitu, ni fisadi anayetumia dini yake kupata watu wa kumlinda dhidi ya madhambi yake!!
...So Bulesi wewe ni Yule unaechukizwa na DINI yake ndio maana unamtuhumu...!!! Do you think Uislam unaficha mafisadi?...waulize wanaoukataa uislam ni kwaajili gani? wanaogopa sheria zake zilivyo straight!!!

kama una-link na majambazi waambie waseme wameiba kiasi gani...ili Kauli ya Dr.Dau ya kusema 4-5M ionekane ya Uongo?
 
Back
Top Bottom