Huyu Bwana sio siri ana agenda ya Uislamu.
Nimecheck hayo ni matamshi aliyoyatoa ,na nimenukuu kutoka source hii:www.igs.net/~kassim/an-nuur2/201/201-12.htm
Wacha udini wewe na mawazo yako finyu, Kama alikua anawashauri waislam ulitaka aongee dance? ulokole? Nchi haina dini lakini viongozi wanadini zao na wengi wanatekeleza majukumu wa dini yao. Pinda anapokutana na nyie walokole anaongea kuwa encourage walokole wenzake, Hakuna tafauti na Dr. Dau. Wewe ni udini ndio unaokusumbua