BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,032
- 3,944
Salamu WanaJF. Kuna MwanaJF mtarajiwa ambaye amepata uhamisho kutoka mikoani kuja jijini anatafuta Upande/Vyumba Vitatu ama nyumba nzima (kama bei sio maumivu sana!) maeneo ya kuanzia Kimara hadi Mbezi Mwisho na Viunga vyake. Anaomba Msaada. Budget yake ni Tshs Laki Moja hadi Laki Moja Unusu. Maongezi yapo kama Kitu ni Kizuri na gharama ni kubwa zaidi ya Budget aliyojiwekea. Akipata Kwa Miezi Sita kwake itakuwa nafuu Sana.