Nyumba/plot ya kununua inatafutwa

hope utapata ila ukiona kimya nenda pale mybeach offices opposite na shopperz plaza wana list ya majumba na plotiz kibao za kuuza.

usishangae wadau hapa wakakuuliza picha ingawa unataka kununua.
JF ina mengi na wengi
 
Cheki na JF member mmoja anaitwa Expertbroker through 0754 858245 atakusaidia tu!
 
Mkuu mimi nina kiwanja Kibamba maeneo ya chama/ccm ukishuka pale tu unapanda kidogo unaingia. Sehemu fresh kinoma kama uko interested niPM then tupange kuonana, kina ukubwa wa mita 25 - 30
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom